Mh Rais na viongoz wote wa Taifa hili mimi napingana na Prof Luoga eti uchumi wetu upo on Track na eti tuna hazina kubwa ya USD. Mimi nakataa nakataa kwa elimu hii hii mlionipa nawaambia no na mh Rais nakuomba usikubali majibu marahisi kwenye majibu magumu.
Kwanza nilazima tukumbuke Bop ya taifa hili ni mbaya why tuna import more than export na kipindi hiki ndio kipo juu sana sana hivyo tusidanganyane na kama mnataka tu danganya basi wekeni figure za bop wazi tuchaguwe mbivu na mbichi. Kwa yule haelewi bop nikipimo cha nchi ina safirisha nje kiasi gani na kuingiza bidhaa kiasi gani. Ikiwa taifa lima ingiza zaid bidhaa bop yake inakuwa mbaya kwasababu unatumia usd nje na hauwingizi USD..
Sababu ya pili ambayo mimi naona kama red indicator ya currency yetu nikuwa any currency umadhubuti wake au uwimara unapimwa kwa kipimo cha demand & supply. Yani uhitaji mkubwa fedha fulani either tzs or USD inapimwaktk d&s. Sasa ukiangalia kwa sasa kwa kipindi cha mwezi tu Usd amekuwa strong dhidi ya tzs. Yani kutoka dola kuuzwa 2228 leo imefika 2338 kwenye mabank ya biashara. Hii inamanisha nini? Kuna uhitaji mkubwa sana wa USD ktk mabank na kwa kuwa serikali hazina yake sio strong inabidi kurudi kwenye mabank kuchukua Usd jambo ambalo linafanya bei ya usd kuwa juu. Ikumbukwe kuwa BOT ndio anapanga margin ya kuuza na kununua dola akiwa na nakishi kubwa anakuwa na uwezo wakupanga margine ndogo kama hana nilazima akubaliane na soko kwa kupandisha margin au asipofanya hivyo ndio hali inaweza kuwa mbaya kama Zimbabwe.
Jambo la tatu mfumuko wa bei jaman tusifunge macho kuna mfumuko mkubwa wa bei ya bidhaa muhimu kama mahindi,maharage,sukari n nk hii ni picha mbaya.
Nne mabadiliko madogo kwenye noti zetu kuanzia elfu kumi mpaka 1000. Kwa mtu mwenye macho ya rohoni ukiangalia ile noti mpya na hii ya sasa utagunduwa jambo la siri kubwa sana. We call Government secret plan behind currency. Siwezi kuongea wala kuwafumbua macho ila tujiongeze kujuwa kesho kinafuwata nini?
Prof Luoga mm naona hatuwa mnazichukua bado haziwezi kuinasuwa nchi hapa tulipo na kwa uwelewa wangu mdogo nakiona kitisho ktk uchumi wetu kwa siku za mbele. Naona siri mnapanga kwenye kunusuru uchumi zitafichuka ktk uhalisia na kuwa uchungu kwetu sote.
Tarehe 21.05.2020 Mh Rais kwa kinywa chake kasema kuna hatuwa nyingine wanachukua kwenye issue ya covd19 kunusuru uchumi ila hawatangazi" mwisho wakunukuu. Namimi nilisema hizo hatuwa wanazifanya kwa siri zitakapo kuja kwenye uhalisia itakuwa uchungu kwetu sote.
Mimi nawaza jambo moja nilazima watu wenye akili ya uchumi mfanye restructure ya all mega projects then kwa ile miradi haija anza iwe stop temporary.
Tunaweza kuwa na advantage ifi donar country watatupa misaada mikubwa kuongeza nakishi ya fx reserve bot. Ila kuna dalili watatubania.
Jambo lingine rudisheni iman ya wafanya biashara kiukweli tukubali au tusikubali Tra imeuwa bihashara nyingi nakufanya watu kutotumia bank nilazima mlegeze masharti na kuwafanya watu wafanye biashara dhuluma kubambikwa madeni kumeuwa biashara
Kwanza nilazima tukumbuke Bop ya taifa hili ni mbaya why tuna import more than export na kipindi hiki ndio kipo juu sana sana hivyo tusidanganyane na kama mnataka tu danganya basi wekeni figure za bop wazi tuchaguwe mbivu na mbichi. Kwa yule haelewi bop nikipimo cha nchi ina safirisha nje kiasi gani na kuingiza bidhaa kiasi gani. Ikiwa taifa lima ingiza zaid bidhaa bop yake inakuwa mbaya kwasababu unatumia usd nje na hauwingizi USD..
Sababu ya pili ambayo mimi naona kama red indicator ya currency yetu nikuwa any currency umadhubuti wake au uwimara unapimwa kwa kipimo cha demand & supply. Yani uhitaji mkubwa fedha fulani either tzs or USD inapimwaktk d&s. Sasa ukiangalia kwa sasa kwa kipindi cha mwezi tu Usd amekuwa strong dhidi ya tzs. Yani kutoka dola kuuzwa 2228 leo imefika 2338 kwenye mabank ya biashara. Hii inamanisha nini? Kuna uhitaji mkubwa sana wa USD ktk mabank na kwa kuwa serikali hazina yake sio strong inabidi kurudi kwenye mabank kuchukua Usd jambo ambalo linafanya bei ya usd kuwa juu. Ikumbukwe kuwa BOT ndio anapanga margin ya kuuza na kununua dola akiwa na nakishi kubwa anakuwa na uwezo wakupanga margine ndogo kama hana nilazima akubaliane na soko kwa kupandisha margin au asipofanya hivyo ndio hali inaweza kuwa mbaya kama Zimbabwe.
Jambo la tatu mfumuko wa bei jaman tusifunge macho kuna mfumuko mkubwa wa bei ya bidhaa muhimu kama mahindi,maharage,sukari n nk hii ni picha mbaya.
Nne mabadiliko madogo kwenye noti zetu kuanzia elfu kumi mpaka 1000. Kwa mtu mwenye macho ya rohoni ukiangalia ile noti mpya na hii ya sasa utagunduwa jambo la siri kubwa sana. We call Government secret plan behind currency. Siwezi kuongea wala kuwafumbua macho ila tujiongeze kujuwa kesho kinafuwata nini?
Prof Luoga mm naona hatuwa mnazichukua bado haziwezi kuinasuwa nchi hapa tulipo na kwa uwelewa wangu mdogo nakiona kitisho ktk uchumi wetu kwa siku za mbele. Naona siri mnapanga kwenye kunusuru uchumi zitafichuka ktk uhalisia na kuwa uchungu kwetu sote.
Tarehe 21.05.2020 Mh Rais kwa kinywa chake kasema kuna hatuwa nyingine wanachukua kwenye issue ya covd19 kunusuru uchumi ila hawatangazi" mwisho wakunukuu. Namimi nilisema hizo hatuwa wanazifanya kwa siri zitakapo kuja kwenye uhalisia itakuwa uchungu kwetu sote.
Mimi nawaza jambo moja nilazima watu wenye akili ya uchumi mfanye restructure ya all mega projects then kwa ile miradi haija anza iwe stop temporary.
Tunaweza kuwa na advantage ifi donar country watatupa misaada mikubwa kuongeza nakishi ya fx reserve bot. Ila kuna dalili watatubania.
Jambo lingine rudisheni iman ya wafanya biashara kiukweli tukubali au tusikubali Tra imeuwa bihashara nyingi nakufanya watu kutotumia bank nilazima mlegeze masharti na kuwafanya watu wafanye biashara dhuluma kubambikwa madeni kumeuwa biashara