YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,910
- 51,904
Maana yake watu wana pesa.Mwenye pesa hata upandishe bei vipi Wananunua.Watu wangekuwa pesa hawana dola ingeuzwa hadi shilingi mia 200Sasa ukiangalia kwa sasa kwa kipindi cha mwezi tu Usd amekuwa strong dhidi ya tzs. Yani kutoka dola kuuzwa 2228 leo imefika 2338 kwenye mabank ya biashara. Hii inamanisha nini?