johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,022
Kwa kuwa mimi nasafiri kila wiki Nauli imekuwa ni Sehemu ya maisha na Uchumi wangu binafsi
Kiuhalisia Nauli iwe ya basi, lori, trekta, Meli nk zinachangia sana upangaji wa bei za bidhaa hivyo Nauli hugusa maisha ya kila mtu hata kama hujawahi kusafiri
Kwa data za Kwenye heading kwamba 1980s Nauli ilikuwa tsh 85 huku usd ikiwa tsh 5 na sasa usd ni 2490 huku Nauli ni tsh 33,000 naomba sasa Swali langu lijibiwe, Uchumi unapaa au unashuka?
Mungu wa Mbinguni awabariki 😀
cc: Bwashee Retired - Machame
Kiuhalisia Nauli iwe ya basi, lori, trekta, Meli nk zinachangia sana upangaji wa bei za bidhaa hivyo Nauli hugusa maisha ya kila mtu hata kama hujawahi kusafiri
Kwa data za Kwenye heading kwamba 1980s Nauli ilikuwa tsh 85 huku usd ikiwa tsh 5 na sasa usd ni 2490 huku Nauli ni tsh 33,000 naomba sasa Swali langu lijibiwe, Uchumi unapaa au unashuka?
Mungu wa Mbinguni awabariki 😀
cc: Bwashee Retired - Machame