Ritakahama
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 758
- 411
Hizi ndoa za hapa jamvini sasa mmmh! too much! naomba mwongozo kwa Mamdenyi,Kongosho na Judgement!,hivi hakuna sheria inayowabana watu kuja kututangazia wakiachana!!??, afu je kila mtu anajitangazia tu!!?? mara HYGEIA na Erotica, mara Charminglady na Mtoto six, mara Ronn M na jeneneke, tena huyu jeneneke ndo mgeni sidhani kama hata ODM amemkagua, haya bana
Nkupenda sana Baba V despite of your dought,ingekuwa me wew ningejiuliza what is so special na huyu mgeni hadi achumbiwe yeye wengine wabaki.Siitaji kukaguwa na ODM mamaa kipenzi gfsonwin ameshaona nafaa that is very enough unajua mama ndo kila kitu hasa mamkwe