Ronn M
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 1,279
- 683
Kwa kuwa Mungu alisema si vyema mtu aishi peke yake, na hivyo mtu atamwacha babae na ***** na kuambatana na
mkewe, na kwa kuwa mama yangu mpenzi gfsonwin na baba yangu mzee mzima Kaizer wamenipa baraka zao,
nikitambua kuwa 'tunda' ni moja wapo ya basic needs, nikisukumwa na pendo la dhati moyoni, mara baada ya masharti
na vigezo kuzingatiwa, mimi, Ronn M, Mtanzania mtu mzima, nikiwa na akili timamu, na bila kulazimishwa na mtu yeyote,
natamka ya kwamba, @jineneke now belongs to me! Naahidi kupenda, kumjali,kumtunza, kumlinda na kumridhisha kama
baba na kama mume! Taarifa hizi zimfikie cacico, Mwa J (nilimpenda sana, (sorry jeneneke, never mind)), charminglady and AshaDii popote walipo. Taarifa hizi pia ziwafikie Erickb52, Asprin, Dark City, Baba V Mamndenyi, Preta Shixi889, Kongosho, BADILI TABIA, Mzee Mtambuzi, The Boss na platozoom. Nitoe onyo kwa Bishanga, kaa mbali! Shukrani za dhati kwa mshenga ruttashobolwa kwa kazi njema
Tayari nilikwisha agiza pete toka ughaibuni kama muionavyo hapa.
mkewe, na kwa kuwa mama yangu mpenzi gfsonwin na baba yangu mzee mzima Kaizer wamenipa baraka zao,
nikitambua kuwa 'tunda' ni moja wapo ya basic needs, nikisukumwa na pendo la dhati moyoni, mara baada ya masharti
na vigezo kuzingatiwa, mimi, Ronn M, Mtanzania mtu mzima, nikiwa na akili timamu, na bila kulazimishwa na mtu yeyote,
natamka ya kwamba, @jineneke now belongs to me! Naahidi kupenda, kumjali,kumtunza, kumlinda na kumridhisha kama
baba na kama mume! Taarifa hizi zimfikie cacico, Mwa J (nilimpenda sana, (sorry jeneneke, never mind)), charminglady and AshaDii popote walipo. Taarifa hizi pia ziwafikie Erickb52, Asprin, Dark City, Baba V Mamndenyi, Preta Shixi889, Kongosho, BADILI TABIA, Mzee Mtambuzi, The Boss na platozoom. Nitoe onyo kwa Bishanga, kaa mbali! Shukrani za dhati kwa mshenga ruttashobolwa kwa kazi njema
Tayari nilikwisha agiza pete toka ughaibuni kama muionavyo hapa.
Last edited by a moderator: