Mimi na Jineneke sasa mambo mwaaaaaaaaaaaaah!

Mimi na Jineneke sasa mambo mwaaaaaaaaaaaaah!

Halafu nataka kumindua coz nimegundua uko kwenye damu yangu....! The secretary kama unaridhia naomba unambie niachane na Preta na Remmy nijitulize kwako mama....najua Bishanga anakupenda kiuongouongo tu hana lolote kwanza kiruka njia sana na hana mapenzi ya kweli kwako!
I love you The secretary
Mwaaaaaah


Nilishakupa kibuti Siku tatu, nne zilizopita, baada ya kusikia una harusi na Preta.
Mapenzi kwangu sina bahati nayo
Narudi zangu siasani nikaandae jimbo mie.
 
Last edited by a moderator:
Hizi ndoa za hapa jamvini sasa mmmh! too much! naomba mwongozo kwa Mamdenyi,Kongosho na Judgement!,hivi hakuna sheria inayowabana watu kuja kututangazia wakiachana!!??, afu je kila mtu anajitangazia tu!!?? mara HYGEIA na Erotica, mara Charminglady na Mtoto six, mara Ronn M na jeneneke, tena huyu jeneneke ndo mgeni sidhani kama hata ODM amemkagua, haya bana

kha, hebu tuache sie. MtotoSix my huz hebu njoo usikie huyu!
 
Last edited by a moderator:
na wewe uoneshe kwanza kubadilika nitafikiria.mwaaaaaaa baby
Mi ukinikubalia naahidi kwelikweli ntabadilika kabisaaaa na wala hutanisikia nahangaika kama mumeo wa sasa ( Bishanga )
Please love say yes to me bby....
I need your comfort please...
I need your Love honey...
Come to me and see the difference...
Love you The secretary
I hope you need happiness and i promise you will always be happy being with Me (Erickb52)
 
Last edited by a moderator:
Nilishakupa kibuti Siku tatu, nne zilizopita, baada ya kusikia una harusi na Preta.
Mapenzi kwangu sina bahati nayo
Narudi zangu siasani nikaandae jimbo mie.
Hivi Remmy unadhani ulichokifanya na PakaJimmy kinasameheka?
Mi nilijua mnatania kumbe wenzangu mnakula maraha kisa niko busy na maisha
Lol ngoja nijipumzishe kwa The secretary wangu mtulivu asiye na doa
Mtoto katulia utadhani utadhani malaika lol
Mlaumu sana huyo anayejiita PakaJimmy
 
Last edited by a moderator:
Hapo kwa The secretary mie nakaa pembeni, unamjua Bishanga wewe? Unajua kuwa ana utaalam wa kutengeneza na kutuma radi na ni mjuzi wa kugeuza mjusi kuwa mamba? Mie simo aisee....

Dah we acha tu ila siahidi kitu BADILI TABIA ila naamini tuko pamoja sasa!
Kama The secretary akinikubalia ombi langu ntabaki jumla coz ni mambo ya Kipya kinyemi na honey moon kidogo!
 
Last edited by a moderator:
Ronn M naona umeamua kuvunja ukimya...

Ila nina wasiwasi sana na mshenga wako ruttashobolwa sina imani nae coz hakawii kukuzunguka!
Jamani mbona we na Mathematics mnapakazia mshenga wakati alifanya kazi yake kwa uamini na moyo mja.I thought he was suppose to be awarded lakini hadi mida hii hakuna hata aliyempa hongera.
 
Ronn M naona umeamua kuvunja ukimya...!
Chukua salamu zangu kwa jeneneke mwambie akinimiss asisite kunipigia simu coz yakale hayanuki na Old is Gold....1
Sina nia wala maana mbaya hapa!
Jamani kama maana sio mbaya kwa nini usiweke wazi ya kale yepi?Mume wangu Mtarajiwa,Mahabuba wangu RONN M usiwasikilize hawa hakuna wa kale tunayejuana hata we si unajua me ni mgeni humu mpenzi?
 
Toa ushahidi mdogo kuhusu wasi wasi wako juu yangu ili hawa couple wakuelewe japo kidogo.

Ili na mimi nitoe ushahidi kwa mkeo ulipo lala jana!
Ronn M naona umeamua kuvunja ukimya...!
Safi sana sasa andaa pilau na maji ya petrol watu tuje tujiachie!
Ila nina wasiwasi sana na mshenga wako ruttashobolwa sina imani nae coz hakawii kukuzunguka!
Chukua salamu zangu kwa jeneneke mwambie akinimiss asisite kunipigia simu coz yakale hayanuki na Old is Gold....1
Sina nia wala maana mbaya hapa!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom