Sawa mamaaaa jeneneke pamoja daimaKwa namna ya pekee nawashukuru wale wote waliofurahia na hata wale ambao hawakufurahi nawapenda wote Mungu Aendelee kuwabariki.Wooote nawatakia usiku mwema hasahasa mama gfsonwin najua uko busy na shamra*2,mshenga ruttashobolwa,aunt BADILI TABIA,Erickb52,mama mdogo cacico,babu Mtambuzi,Mtoto six,Mathematics,Baba V,Asprin you made my day with the picha thank you, na wote na mwisho kabisa, mume wangu mpenzi mtarajiwa Ronn M nakupenda sana sleep tight baby!
Shahidi ziko nyingi sana aisee ruttashobolwaToa ushahidi mdogo kuhusu wasi wasi wako juu yangu ili hawa couple wakuelewe japo kidogo.
Ili na mimi nitoe ushahidi kwa mkeo ulipo lala jana!
Kesi itoke wapi? Learned tunasuluhishana wenywe kimyakimya,hearing ,judgment tutatoa sisi wawili tu.Neeenda. Jitahidi usituletee kesi tu hapa.
Ya kale yamepita,nampenda kama alivyo na sio kama alivyokuwa zamaniHatimaye umeachana na majimama
Sijkuelewa hapa Erickb52 kutangaza nia kuhusu kipi hicho tena kizuri ndugu yangu unachotaka kula na mimi? Si unaona?Mnamsingizia mshenga wangu kumbe kinyume chake ni kweli.So jeneneke unaniruhusu na mimi kuja kwako kutangaza nia maana lol kizuri kula na ndugu yako!
Love umeanza kusikiliza maneno ya watu mara hii?Kati ya mshenga wangu ruttashobolwa na nduguyo Erickb52 nani wa kutilia shaka?Huyu nitamuundia tume, tuhuma zake zinazidi sasa
Hahahaaa alitumia special factor na ndio mana kikaitwa kitu maalumuDoh! Yalinibana sana nlipokuwa bungeni. Hasa hawa viti maalumu, walikuwa balaa kabisa. Sijui mkulu alitumia factor gani
Kesi itoke wapi? Learned tunasuluhishana wenywe kimyakimya,hearing ,judgment tutatoa sisi wawili tu.
Kama unamruhusu Ronn M aonje vya nje so hata wewe nataka kukuonjesha cha njeSijkuelewa hapa Erickb52 kutangaza nia kuhusu kipi hicho tena kizuri ndugu yangu unachotaka kula na mimi? Si unaona?Mnamsingizia mshenga wangu kumbe kinyume chake ni kweli.
Doh! Yalinibana sana nlipokuwa bungeni. Hasa hawa viti maalumu, walikuwa balaa kabisa. Sijui mkulu alitumia factor gani