Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,175
basi mnahela
anzeni kununua vitu vya supamarket ambavyo ni rahisi kupika
mtajenga mkipata pensheni zenu
anzeni kununua vitu vya supamarket ambavyo ni rahisi kupika
mtajenga mkipata pensheni zenu
Mimi ni mhasibu mama ni mchumi! muda wa kurudi home ni saa 4:30pm kwa wote. Huwa nipo tayari kumasaidia ila sema anapokuwepo housegirl nashindwa kumsaidia. ila napenda kumsaidia