Mlengera Moses
Member
- Nov 11, 2011
- 17
- 13
Kama alifanyiwa hiki kitu ni ngumu kupata tiba.....Kuna dada mmoja ana tatizo la bleeding kila wakati na ameshahangaika saana hospital imeshindikana, sasa hivi anahangaika kwa waganga lakini bado,ana miaka 40 na bado hajabahatika kupata mtoto, je unamshauri nini?
Kuwa makini na manabiii wa kikasasa wengi niwauongoKama unasema kwa manabii sasa huyo Mungu tunamuombea wapi??
Kwanza naelewa shetani ni mjaja sana maana ndo anayeyatawala makanisa na misikiti kwa kiasi kikubwa ila watu wanakimbilia kuamini kuwa shetani amamiliki freemason tu.Hata hivyo MUNGU hayupo tena makanisani anadili na mtu mmoja mmoja ivo naamini kwa nyakati hizi hamna tena nabiii wa kweliNi karibu wote ukipata mkweli ni wa kuokoteza na darubini mchangani
Mkuu Yesu alienda kuomba mlimani. Maandiko yanasema alienda kukesha mlimani kumwomba Mungu usiku kucha. Mara zote Kristo alienda kuomba Mlimani badala ya nyumba za Ibada.Kama unasema kwa manabii sasa huyo Mungu tunamuombea wapi??
Wewe ndo unaskia kuwa katamka kwajina la Yesu lakn hatamki hvyoo anatamka jila la anayempa hzo nguvuu zakipepo.Sasa apo nieleweshe vizur inakuwaje mtu anasema kwajina la yesu na kuombea kumbe anatumia jini
Uku navojua mapepo na ata ibilisi akitajiwa jina la yesu anashindwa kuzur.
Mkuu tuwasiliane. Nimpeleke kwa Mtumishi Wa Mungu huyo Dada.Kuna dada mmoja ana tatizo la bleeding kila wakati na ameshahangaika saana hospital imeshindikana, sasa hivi anahangaika kwa waganga lakini bado,ana miaka 40 na bado hajabahatika kupata mtoto, je unamshauri nini?
Kapicha basi!Kinazindunaa.....kuna nabii jijini Mby kamzalisha MTU nyokaaa ni liveee bila chenga.
suala sio Mungu abariki matumbo yenu suala ni nyie kuacha kutoatoa mimbaNimekumbuka tu haya maandiko "Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake na moyoni mwake amemwacha Mungu"
Ulivyoongea hapo juu tu nimewaza eti mtu na mtoto wako maisha yenu yote yupo binadamu anayeyacontrol. Siku mkimuudhi au amefariki bahati mbaya au yeye tu akiamua ndivyo sivyo basi ndo kila kitu kushney
Mmh Mungu tunaomba ubariki matumbo yetu. Kukosa mtoto sio kitu kirahisi jamani, hata ukiambiwa ufanye kitu gani sijui, for the sake of a child mbona utajikuta unafanya tu. What matters ni wewe kuitwa mama. Mungu atusaidie jamani
Vipi serikali itanipa ruzuku? Kama hili litafanyika hakuna shidaInabidi Mshana ufungue chuo uanze kufundisha watu na kwa vile humu jf una wanafunzi wakutosha si vibaya ukawajengea uwezo wakawa wakufunzi wasaidizi katika hicho chuo chako na sivibaya kama utakijengea kifaru au kilomeni,pia sivibaya kama utakijengea kikweni,tena pale nikaribu na msitu wa kamwala,pia patakuwa njia panda ya usangi.
Wala usihofu kwakuwa hii taaluma itasaidia kuongeza ajira utapata tu RuzukuVipi serikali itanipa ruzuku? Kama hili litafanyika hakuna shida
Dah! Ila mshana jr sipati picha ulivyojichanachana chale, hivi nyumban kwako unasali? Au kwamfano kikatokea kitu chochote ktk mazingira ya kutatanisha hapo si unashinda unatwanga mitishamba?
Unajua nmekumbuka kipind nasoma kuna chumba nilikuwa nakaa sasa alikuja jamaa yangu mmoja kuomba hifadhi kwakuwa nyumban kwao walikuwa na migogoro yule jamaa alikuwa mshirikina hatari, yaan akiona hata mbwa kakatisha tu tayar anaanza kujipaka midawa yake, siku moja nipo kitandan napiga msuli bed nikashangaa nmemwagiwa maji hata mtu aliyenimwagia simuon na hakukuwa na mtu yeyote ndan halafu nikasikia sauti ikijisonya kutoka darini. Ikabidi nimwambie baba alimfukuza yule jamaa.