Mimba za kuzimu

Hapana imani ni jambo la kiroho zaidi kuliko kidunia kwahiyo hata kama mtu yuko subsonscious lakini ufahamu wake uko live
Haya mkuu mshana jr ngoja tu nikubali japo sijaridhika kiviile,hata hivyo shukrani kwa mada zako,ukitulia na kuelewa zina mafundisho makubwa sana,hasa kuhusu ulimwengu usioonekana.shukrani.
 
Haya mkuu mshana jr ngoja tu nikubali japo sijaridhika kiviile,hata hivyo shukrani kwa mada zako,ukitulia na kuelewa zina mafundisho makubwa sana,hasa kuhusu ulimwengu usioonekana.shukrani.
Asante sana nitajitahidi nifafanue zaidi kuhusu hili
 
Mh nahisi hamuelewani hapa....zitafika zama ambazo watatokea manabii wa uongo....what did it mean??...hakutotokea nabii wala mtume tena baada ya wale waliopita....sasa hawa waliojaa ndo hao wanaotumia hizo nguvu za hao kwenye picha za mshana jr....kazi kwako....mshana jr big up....dini isome kwa undani wake usifuate kwa ushabiki....itafute elimu ya dini kwa nguvu zote..popote pale...kazi kwako..
 
Wale wanao Mpinga Mshana wengi ni haohao washirikina wanaona jamaa anawaumbua,kiukweli haya mambo yapo kama huamini we kaa kimya ila tunaishi katika ulimwengu complex kabisa I nahitaji hekima na busara ya ya hali ya juu kuyatambua haya,mungu atufungulie tuyafaham kwa kina,thanx mpwa Mshana,jichawi.
 
Mkuu Ulishawahi kufuatilia ukathibitsha.. Au ndo assumption at work..
 
Mshana Jr!

Somo zuri lakini umeliandika kifupi mnoo, wewe unajua kuwa Wapo waliozaliwa kwa miujiza na wapo waliozaliwa kimazingara! Naomba tupe somo refu kidogo.

Submitted for your guidance and record.
 
Daaah mkuu umenivunja mbavu aisee
 

Hapa ndipo tunapokoseaga binadam hauwezi kupewa tu bila kutoa chochote
 
Ikitokea mola akakuchukua itakuwaje? (Sikuombei kifo ila hutokea mara nyingi waganga kufa na kuwaacha njiani wateja wao)
 
Ukiona masharti ya hivyo jua ni uchawi
 
Mkuu.. naomba muwe mnawaambia madhara ya hizo kabla ya kuzitoa
 
Bado Mungu ndie mweza wa yote...wapo waganga wachache mno watakaoweza kukufungua bila side effects
Sidhani kama mganga wanaweza kumfungua aliyefungwa na nguvu za Giza zaidi ya maombi rasmi kwa Mungu.

Kwani kwenda kwa mganga wa kienyeji ili kufunguliwa vifungo ni ngumu kwa kuwa mganga na mchawi wote ni wa ufalme mmoja.

Akijitahidi sana atakuwekea jini kubwa kuliko ulilopewa na mchawi.hivyo anaongeza matatizo.

Kwa Yesu tu ndio jibu.
 
Mganga anaweza kama akiamua kutumia tiba za asili za mitishamba bila kuhusisha tunguli viapo na damu
 
wanaotaka mimba




kuliko kwenda kwa mganga, chukua asali vijiko viwili changanya na mdalasini wa kutosha, hadi mchanganyiko uo uwe kama big g, usiku wakati wa kulala paka katika fizi za juu na chini lala na mchanganyiko huo, au fanya mapenzi ukiwa na mchanganyiko huo na kama uko ktk siku zako za kushika mimba, au tumia mchanganyiko huo, baada ya siku tatu shiriki tendo ndani ya siku za mimba, InshaAllah naamini utapata mimba, Tiba hii nimewasaidia watu saba na wote sasa wanawatoto, ni ushauri tu niliwapa,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…