THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,365
- 12,823
mbona unaniangusha teacher wangu gfsonwin?
Hivi kila vidude vinapokutana ni kwa ajili ya kutengeza watoto??
Ingekuwa hivyo wengine tungewajengea viota hewani....!!
Hata hivyo, nimependa hapo kwenye blue...mzigo wa mimba na mtoto siku zote unabebwa na mdada...ndo maana nashangaa kwa nini mtu anyejua atabeba mzigo alone halafu eti anatega mtego wa kujiingiza matatizoni!!
Kwani anazini na ng'ombe au shimo kwenye kibuyu?
Nimewatetea wapi tena amu....(najua babu mwenzangu asprin hataisoma vibaya na kuhisi ni "hamu")!!
Siyo kurudisha maendeleo kaka kwani watu wengine wanakuwa hawana hata cha kuendeleza bali ni huo msongo wa ubongo ambao unamkuta victim....
Yaani hata kama ulijiandaa kwa dinner, unapata ed ya kama siku 7 vile!
Achana na mimba bwana.... Mtu unatamani iwe gari au bajaji uweke reverse gear!!
Babu dc!!
kabisa kabisa mkuu
kwa kweli inakua inaleta kisebu sebu sana...