Wacha ujinga ww Zanzibar hakuna udini.. waislam wameishi na wakristo kw miaka mingi sana bila ya kubughudhiwa.. lamcngi tafuteni chanzo cha hayo sio kupalilia chuki.. km hamuwezi kuishi Zanzibar ondokeni nyote musitafute sababu.. paka wee..!
Dear Friends, before any innacurate information starts floating around: two bombs went off this afternoon at the entrance to the Anglican Church compound in Mkunazini.
The bombs were placed near the entrance on the street. There were no injuries to pedestrians and no damage to the property. We are most grateful that no one was hurt.
Rev. Jerry
Anglican Diocese of Zanzibar
jamani tuachane unafki na chuki kwa ndugu zetu wa zanzibar, ukweli ni kwamba sio mlipukoo ni shoti ya gesi kwenye mgahawa karibu na kanisa tu, tunatia chumvi wakati sio kweli! unafkiri hata hao wazanzibari wanataka Muungano si basi tu tumewalazimisha hawana la kufanya na tumewatawala hawana vya kujinasua
Watu wachache ambao wamepewa madaraka na wananchi kuongoza dola, kwa kutojali kwao,aidha kwa kupuuzia, au kutokufuatilia mambo muhimu kama haya ya ulinzi na usalama wa Taifa wanaweza kututumbukiza katika machafuko makubwa.
Serikali ndio ya kulaumiwa. Na endapo Zanzibar itajitenga na Tz bara, basi haya mambo yatakuwa ndio maisha ya kila siku.
Milipuko hii kama kweli ni mabomu basi wenye makosa ni serikali kutokuwa makini na matatizo hayo toka mwanzo.Sijaona kilichofanyika ili kuwapata wahalifu,na sijui wanaona furaha gani watanzania wakirumbana kwa mihemuko ya udini wakati huo ni uhalifu na auhusiani na dini yoyote.Sipendi na sitaki kuaminishwa kwamba ni usilamu bali huyo aliyeweka mabomu hayo ni mhalifu tu na wala si kuweka dini mahali penye uhalifu ambao unaweza kutolewa majibu sahihi na wakosaji wakaadhibiwa.Rai yangu kwa Wanzanzibar bila kujali dini zao inabidi wafanye doria wenyewe ili kuwakamata wahalifu hawa.Kwa kweli wanaudhi.
Wewe mupunguwani hao watu wanajiripua wenyewe kwa uroho wa sadaka
Serikali gani? Ya mapinduzi? Hujui hawataki katiba mpya sasa wameanzs vutimbi
Itakua ni hitilafu tu ya umeme.
Dear Friends, before any innacurate information starts floating around: two bombs went off this afternoon at the entrance to the Anglican Church compound in Mkunazini.
The bombs were placed near the entrance on the street. There were no injuries to pedestrians and no damage to the property. We are most grateful that no one was hurt.
Rev. Jerry
Anglican Diocese of Zanzibar