Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 6,103
- 9,928
Kwa nini hajielewi? Tupe experience yako.Hujielew
Kwa nini hajielewi? Tupe experience yako.Hujielew
South unapata Mercedes C200 au C220 imenyooka Kwa R70,000-90,000Japan nina VITARA, nataka na ladha ya Kijerumani.
Ingia www.webuycars.co.za chagua gari. Ikiwa unahitaji mtu mwaminifu ambae yupo SA sema atakucharge Kwa muda wake, atakuchukulia gari na kusafirisha gari mpaka border Tunduma au Kasumulu Kwa gharama nafuu.Kwa nini hajielewi? Tupe experience yako.
Za mwaka gani?South unapata Mercedes C200 au C220 imenyooka Kwa R70,000-90,000
Mbuzi WA Singapore au WA japaniIla hao mbuzi huwa wanabadilishaga vifaa wanaweka vibovu ili mnunuzi ajute kuvutiwa na leather
Wee jamaa unaandika pumba umu kuwadanganya wenzio...unalijua Singapore vizuri wewe au unaropoka tu..kati ya nchi.5 duniani za wanachi wenye kipato cha juu ni singapore,hiyo ya kusema owner zaidi ya wanne uongo..kuna uncle wangu anaishi uko tangu miaka.90 alituma gari 3 Kwa pamoja za matumizi ya nyumbani,Hakuna kitu kama hiko na gari nzima mpaka leo,zina zaidi ya miaka.7 nowSingapore kama Tanzania. Mtu akinunua gari anamuuzia mwingine.. Kisha anamuuzia mwingine ivo ivo unakuta ata owners wanne.
Wakiwa wamelichoka ndio linakuja Tanzania.
Kwanini?
Kwasababu Singapore ni nchi ndogo sana. Size yake ni ndogo kuliko Dar es Salaam.
Kwahiyo serikali kupunguza magari wameweka sheria "certificate of ownership ' ya gari. Yaani unaweza nunua gari new mil 50 hafu cost ya iyo certificate ukaambiwa mil 60. Na unakata kwa mwaka (kama sijakosea).
Sasa wengi wakinunua ni matajiri wanaikatia labda 5 years. Sasa tajiri akikaa na gari 1 year tosha. Linauzwa kwa mwingine mwingine mwingine hadi miaka 5 ikiisha ndio linakuja Tz
Tofauti na Japan wale jamaa kununua gari used mara chache. Kwahiyo unakuta gari owners ni mmoja au wawili tu tokea liwe jipya.
SingaporeMbuzi WA Singapore au WA japani
HahahahaSingapore
Ila hujaeleza kwa nini hajielewi...Ingia www.webuycars.co.za chagua gari. Ikiwa unahitaji mtu mwaminifu ambae yupo SA sema atakucharge Kwa muda wake, atakuchukulia gari na kusafirisha gari mpaka border Tunduma au Kasumulu Kwa gharama nafuu.
Yeye si kanunua direct huko. Yeye anaongelea agents... Je alitumia agent gani?Wee jamaa unaandika pumba umu kuwadanganya wenzio...unalijua Singapore vizuri wewe au unaropoka tu..kati ya nchi.5 duniani za wanachi wenye kipato cha juu ni singapore,hiyo ya kusema owner zaidi ya wanne uongo..kuna uncle wangu anaishi uko tangu miaka.90 alituma gari 3 Kwa pamoja za matumizi ya nyumbani,Hakuna kitu kama hiko na gari nzima mpaka leo,zina zaidi ya miaka.7 now
Gari gan Mkuu? Ulinunulia kwenye mnada?Yangu nimchukua SA mpaka sasa hainisumbui kwa lolote.
Nilinunua kwa mwanangu mmoja hivi alikuwa na jamu tu za kifamilia yeye ni engineer ni Ford Ranger 2.2 TDCi XLT Auto Double-Cab ya 2018 nilichukua Rand kama laki tatu na uchafu.Gari gan Mkuu? Ulinunulia kwenye mnada?
Hongera Sana Mkuu. Hizo za kuchukua mkononi Kwa mtu unayemjua SA tamu sana. Niliwahi kununua Mercedes Benz C200 toka kwa Mzungu Port Elizabeth aisee chuma Safi sana nilibadillisha coil tuNilinunua kwa mwanangu mmoja hivi alikuwa na jamu tu za kifamilia yeye ni engineer ni Ford Ranger 2.2 TDCi XLT Auto Double-Cab ya 2018 nilichukua Rand kama laki tatu na uchafu.
Kwenye maisha sometimes inabidi utumie mbinu ya kuvizia chief maana kujitungua kila wakati kunarudisha nyuma...wapo watu wana vitu vizuri wakitaka kuuza ndio unaishi nao pia zipo kampuni zinazoleweka hazina janja janja.Hongera Sana Mkuu. Hizo za kuchukua mkononi Kwa mtu unayemjua SA tamu sana. Niliwahi kununua Mercedes Benz C200 toka kwa Mzungu Port Elizabeth aisee chuma Safi sana nilibadillisha coil tu
Sure Mkuu. Pia kuna mwana humu Isanga family ana madini ya SAKwenye maisha sometimes inabidi utumie mbinu ya kuvizia chief maana kujitungua kila wakati kunarudisha nyuma...wapo watu wana vitu vizuri wakitaka kuuza ndio unaishi nao pia zipo kampuni zinazoleweka hazina janja janja.
Singapore wanarudisha nyuma Kilometer, na kuweka leather nzuri ili watapeli watu. Muda mwingine Hadi Cc za engine wanaandika sioOkay asante sana.
Ila Japan mnunuzi anaweza kuwa mmoja ila hizo km zinazotembea ni hatari. Singapore magari yao mengi si kilomita malaki..... Nadhani pia kutokana na udogo wa nchi. Wanaenda wapi...