Miliki Nyumba mpya kwa milion 32 tu

Miliki Nyumba mpya kwa milion 32 tu

bde31a44fe14b6f7dd2be20dde2356a2.jpg
6a24b474b0060d937ea6029c8877b97e.jpg
5cde50d7af0442e72dee773946e01187.jpg

Sijakuelewa kiongoz
Safi sana mkuu
Kiwanja kama kina offa ya letter ina maana tayari kimeshahakikiwa kuwa sehemu tunayojenga ni makazi ya watu na sio eneo la biashara wala viwandan
Kuhusu nyumba ya Vyumba viwil Mwanza tunajenga kwa garama hiyohiyo mil 32 maana tunakuwekea bati kama hizo unazoziona kwenye picha
93b9b649963513d9c33be7c871df00f1.jpg

Halafu tunakuwekea tiles za France au Italy grade two ukitaka za China tunakuwekea grade one so endapo kama hutahitaji hivi vitu vya kiwango ukataka ujenzi wa kawaida basi garama itapungua hadi mil 26 or 25
Kuhusu kukamilika kwa nyumba ndani ya siku 90 tutakukabidhi nyumba yako
Nyumba ya Vyumba vinne kwa Mwanza tutakujengea kwa mil 68 nyumba ya kiwango kizuri sana
ebaf4ceb2ddbe35e5bc36f8603d83e5d.jpg
sample kama hii mkuu ni nyumba ya Vyumba vinne karibu WhatsApp 0763772636
 
Hizi hapa ni za Shilling ngapi ngapi??
Na mnajenga kuishia wapi?
Mpaka rangi na Bati mnaweka??
Finishing zote za ndani, Umeme na Plumbing mnaweka??
Hizo paving blocks hapo mnaweka??
Madirisha yote naona ni sliding mnaweka??
 
Hizi hapa ni za Shilling ngapi ngapi??
Na mnajenga kuishia wapi?
Mpaka rangi na Bati mnaweka??
Finishing zote za ndani, Umeme na Plumbing mnaweka??
Hizo paving blocks hapo mnaweka??
Madirisha yote naona ni sliding mnaweka??
Yaan hizo kama unavoziona ni mil 85 ni nyumba ya Vyumba vitano kila kitu tunaweka wewe hapo chako ni kiwanja tu basi
 
Yaan hizo kama unavoziona ni mil 85 ni nyumba ya Vyumba vitano kila kitu tunaweka wewe hapo chako ni kiwanja tu basi
Ok,
Nikitaka kama hizo lakini za vyumba vitatu, kila kitu mnaweka nyinyi na kiwanja changu mnafanya kwa kiasi gani??
 
Wakati mwingine nakuwa offline so usione kwamba nimepotezea no mostly WhatsApp ndo tunajadil na kutuma picha nyingi kirahisi hiyo nyumba ya mil 100 nimeweka coz wengine wanataka gorofa
9f1c71b8bc8bfc8bf7ed4a4db8684251.jpg

Hiyo ni sample ya nyumba ya Vyumba viwil karibu kwa Huduma bora
Hii nyumba siyo ya mil 32. Uongo.
Huenda mil 50!
 
Unatangaza nyumba ya vyumba 2 kwa 32 M unaleta picha la mjumba mkubwa wa 100M hapa pia tutalalamika Sizonje analeta hali ngumu wakati unashindwa kua muwazi ili upate wateja kama umeshindwa kua makini na hili basi hata ujenzi wenu utakua magmash tupu.
Mkuu. Ujenzi adanganywe ambae haja uanza.
Foundation, boma, mbao, septic tanks, ufundi stage zote, profit, material, roofing, nk mil 32?? It can't be.

Nadhani NHC wana Mil 45 Hadi 54 two rooms.
Kwa hili mm nitasubiri humu ushuhuda.

Pia Watanzania tusipende vya bure. Vya bure ni gharama sn. Uchunguzi wa kina ufanywe kujiridhisha. La sivyo tutaingia cha KIKE.

Mm niulize mna maduka ya materials incase mtu akihitaji kununua?
 
Hii nyumba siyo ya mil 32. Uongo.
Huenda mil 50!
Hiyo ni mil 32 mkuu sio 50 hiyo ni two bedrooms, jiko, store, public toilet, dining karibu tukujengee mkuu na material zetu ni za kisasa tunatumia tiles za Japan,France au Italy grade two na ukitaka za china tunaweka grade one chaguo ni la mteja na mabati tunaezekea vigae msauz, vifaa vya bomba masinki nk tunaagiza kutoka uturuki ndio maana tukishamjengea mteja wetu huwa nyumba yake itakuwa chini ya uangalizi wetu kwa kipindi cha miaka mitatu kwa chochote kitakachoharibika tutarekebisha kwa garama zetu karibu
 
Mkuu. Ujenzi adanganywe ambae haja uanza.
Foundation, boma, mbao, septic tanks, ufundi stage zote, profit, material, roofing, nk mil 32?? It can't be.

Nadhani NHC wana Mil 45 Hadi 54 two rooms.
Kwa hili mm nitasubiri humu ushuhuda.

Pia Watanzania tusipende vya bure. Vya bure ni gharama sn. Uchunguzi wa kina ufanywe kujiridhisha. La sivyo tutaingia cha KIKE.

Mm niulize mna maduka ya materials incase mtu akihitaji kununua?
Enzymes sisi ujenzi hatujaanza Jana boss pia huwezi kutulipa pesa kabla hatujakuandalia kitu kinachoitwa BOQ hii ni kwaajili ya kupata mchanganuo mzima wa ujenzi wa nyumba yako kwa wataalam wa ujenz wanaelewa maana ya BOQ sasa basi kupitia hii ndio utaweza kujiridhisha kwamba ninachojengewa ni kitu gani
Mbali na hapo tunaandikishiana kisheria, nyumba yako itakuwa chini yetu for three years wewe unaona aliwezekani maana hujui ila sisi tunajua inawezekana na wapo wengi ambao timewajengea na wengine tunazidi kuwajengea na wapo humu humu
 
Mkuu. Ujenzi adanganywe ambae haja uanza.
Foundation, boma, mbao, septic tanks, ufundi stage zote, profit, material, roofing, nk mil 32?? It can't be.

Nadhani NHC wana Mil 45 Hadi 54 two rooms.
Kwa hili mm nitasubiri humu ushuhuda.

Pia Watanzania tusipende vya bure. Vya bure ni gharama sn. Uchunguzi wa kina ufanywe kujiridhisha. La sivyo tutaingia cha KIKE.

Mm niulize mna maduka ya materials incase mtu akihitaji kununua?
kwaio ww unataka vyumba viwili waseme60m???
 
Habari wakuu sisi www.one2onefocus.com tunahusika na ujenzi wa garama nafuu kabisa kwa shil mil 32 tutakujengea nyumba ya Vyumba viwil sebule dining public toilet na jiko la kisasa tunatumoa material quality na zinazoenda na wakati kabisa

Faida utakazozipata ukijenga na sisi ni kama zifuatazo
1. Kama mteja hana ramani sisi kama kampuni tutamchorea bure kabisa bila malipo ya ziada
2. Unaweza kulipa 50% ya garama husika halafu nyingine ukalipa kidogo kidogo bila riba yoyote hadi nyumba yako inakamilika
3. Unaweza kulipa 50% ya garama halafu tukakujengea nyumba tutakukabidhi halafu 50% iliyobakia ukatulipa kidogo kidogo pamoja na riba ya 8% ya Deni lako ila hapa tunaweza kukuruhusu kuhamia kwenye nyumba yako huku ukiendelea kutulipa taratibu kulingana na makubaliano yetu
4. Nyumba yako itakuwa chini ya uangalizi wa one2onefocus limited kwa zaidi ya miaka mitatu chochote kitakachoharibika tutagaramia sisi bure kabisa bila garama zingine za ziada

Ofisi zetu zipo sehemu zifuatazo

Dar ( makao makuu)
Makumbusho complex
Floor ya kwanza

Mwanza
Buzuruga Plaza
Mtaa wa Buzuruga

Arusha
Namvua Plaza
Gorofa ya nne
Kwa mawasiliano maswal maoni
WhatsApp 0763772636
Call 0789047874
Email pettymichael92@gmail. Com

Nyumba yako Maisha yako karibun sana
 
mkuu naomba tuwasiliane DM. nilikuwa nakaribia kununua nyumba WHC ila naweza kugairi
Naomba namba yako ya cm mkuu au waweza nichek WhatsApp 0763772636 au waweza kuni sms 0789047874
 
Back
Top Bottom