pettymarcel
JF-Expert Member
- Jun 17, 2012
- 2,161
- 883
- Thread starter
- #21
Acha ku run into conclusion bro
Wakati mwingine nakuwa offline so usione kwamba nimepotezea no mostly WhatsApp ndo tunajadil na kutuma picha nyingi kirahisi hiyo nyumba ya mil 100 nimeweka coz wengine wanataka gorofaUnatangaza nyumba ya vyumba 2 kwa 32 M unaleta picha la mjumba mkubwa wa 100M hapa pia tutalalamika Sizonje analeta hali ngumu wakati unashindwa kua muwazi ili upate wateja kama umeshindwa kua makini na hili basi hata ujenzi wenu utakua magmash tupu.
Tukutapeli kwa kipi kaka? Maandishi tu yanakupa presha?Au ni matapeli nini wameweka picha ya Nyumba yenye thamani ya milioni 100 halafu wanajifanya wanajenga kwa milioni 32 waongo sana hawa jamaa
Naona unapata taabu sana kuweka hiyo picha pengine hamjawahi kujenga!!!
Karibu kigambon mbele ya kibada tumejenga kama sita sehemu moja za mteja amefanya apartment kama una muda waweza kuja kuanzia saa nne kuziona pia Bunju B ila Bunju sio nyingi kama za huku kigambonAhsante kamada kwa picha , hiyo ya kwanza mmejenga wapi ningependa kwenda kuiona.
Ndio tunatumia bati za msauz kama ukitaka bati za kawaida bei itapungua zaidi na tunapiga tiles nyumba nzimaNa Paa linakuwa la kigae Cha south kama hicho Mkuu
Asante kaka nitafanya ivo nasubiria wamalizie kupaka rangi then nizipige nje na ndani halafu nitazitupia hapaKwa faida ya wengi, jitahidi utuwekee picha ya hiyo mliyojenga kwa mil32 huko Kibada.
Sababu hizo picha ulizoweka sio actual ila ni plan.
Je hizo ndio picha za nyumba mnazojenga kwa millioni 32?
Ok!Asante kaka nitafanya ivo nasubiria wamalizie kupaka rangi then nizipige nje na ndani halafu nitazitupia hapa
Arusha zipo kwenye last finishing tumejenga mto wa mbuu, kijenge na Moshi KiboshoOhooo......
Hizi sasa ndio thread za kusoma......
Hebu nipe quote ya 3 bedrooms.....na mnazo mlizojenga ambazo naweza kununua.......?......
Mna sample iliyopo Arusha niende nikaone......?.......
VizurOk!
Binafsi nazisubiri na nitafurahi kuziona.
Ndio ofisi zetu kwa Arusha zipo Namvua Plaza Gorofa ya nne ukifika hapo utaonyeshwa na kuweza kutembelea project zetu za sehemu mbalimbali kwa pande za ArushaOhooo......
Hizi sasa ndio thread za kusoma......
Hebu nipe quote ya 3 bedrooms.....na mnazo mlizojenga ambazo naweza kununua.......?......
Mna sample iliyopo Arusha niende nikaone......?.......