Miliki Nyumba mpya kwa milion 32 tu

Miliki Nyumba mpya kwa milion 32 tu

Habar njema pia ni kwamba kwa wale wafanyakaz kuna njia mpya ulipaji waweza kutulipa nusu ya pesa inayotakiwa halafu pesa nyingine tukakukata kwenye mshahara wako kidogo kidogo
Ila lazima utangulize 50% na Salio litakalobakia utalipa ndan ya mwaka mmoja
 
Ni vema sana mnavyo fanya lkn ukweli ukowapi wa kuniridhisha kimaelezo zaidi.
 
94d50ab551ea7c8722031fc25f0395a6.jpg
Acha ku run into conclusion bro
Hii ni sample ya nyumba ya Vyumba viwil bei mil 32 karibu tukuhudumie
Naweza kujengewa kama hii, yaani hivihivi kama ilivyo kwenye picha kwa pesa hiyo 32ml?
 
Kwa faida ya wengi, jitahidi utuwekee picha ya hiyo mliyojenga kwa mil32 huko Kibada.
Sababu hizo picha ulizoweka sio actual ila ni plan.
1b64c4b7e053c39a9690f102a5b68a00.jpg
hii ni nyumba ya Vyumba viwil ujenzi haujakamilika bado unaendelea
 
Habar njema pia ni kwamba kwa wale wafanyakaz kuna njia mpya ulipaji waweza kutulipa nusu ya pesa inayotakiwa halafu pesa nyingine tukakukata kwenye mshahara wako kidogo kidogo
Daa kaka nimeipenda sana hii threat yako, hakika ni ubunifu wa hali ya juu na kama kweli mtakuwa waaminifu kwa hakika mtapata wateja wa kutosha.
Ila nikuulize huna group la Whatsup?
 
cd86b574ffef0052085a65b40558b976.jpg
c7ea91ed82dd169da01d917eefe1465f.jpg
42a71eb9f8911863ba23777192a22ddc.jpg
bd3a7736170e8bcb93180ebd85cb0067.jpg
75e0df65f536e90ae8ffccdbba2f346f.jpg
24f27ca6aa2e43083e59222fde5b19bd.jpg
baadhi zikiwa kwenye hatua za mwisho za kumalizia huu pia ni ujenzi wa Vyumba viwil ukiwa katika hatua za mwisho kasoro hiyo picha ya chumba kikubwa ni nyumba ya Vyumba vitatu
Kwa faida ya wengi, jitahidi utuwekee picha ya hiyo mliyojenga kwa mil32 huko Kibada.
Sababu hizo picha ulizoweka sio actual ila ni plan.
 
Mimi naomba nikuulize kitu kaka
Vipi kuhusu umeme na maji?
Vinakuwa inclusive au ni gharama ya mteja kuvuta maji na umeme?
 
Mimi naomba nikuulize kitu kaka
Vipi kuhusu umeme na maji?
Vinakuwa inclusive au ni gharama ya mteja kuvuta maji na umeme?
Umeme tunakufanyia wiring kila kitu ila mambo ya ununuzi wa nguzo ilo swala litamuhusu mteja maana hesabu tutakazokupigia tutakupa mchanganuo wake A to Z
Pili kuhusu maji sisi tunakuwekea system yote ya maji kila kitu wewe mteja ni wajibu wako sasa kutuma maombi Dawasco/mowasco extra wakufungie maji so sisi tutaishia kwenye kufunga system yote ya maji
 
Umeme tunakufanyia wiring kila kitu ila mambo ya ununuzi wa nguzo ilo swala litamuhusu mteja maana hesabu tutakazokupigia tutakupa mchanganuo wake A to Z
Pili kuhusu maji sisi tunakuwekea system yote ya maji kila kitu wewe mteja ni wajibu wako sasa kutuma maombi Dawasco/mowasco extra wakufungie maji so sisi tutaishia kwenye kufunga system yote ya maji
Asante kwa ufafanuzi mzuri
 
Mkuu kuwa mkweli acha utapeli umeambiwa onesha nyumba ya milioni 32 unaonesha zingine ila km ni nyumba zile karibu ya mwasonga ndio unasema nyumba zile kota ule ni uchafu mkuu.
 
Nyumba ya vyumba 3 inakuwa shs ngapi?
 
Mkuu kuwa mkweli acha utapeli umeambiwa onesha nyumba ya milioni 32 unaonesha zingine ila km ni nyumba zile karibu ya mwasonga ndio unasema nyumba zile kota ule ni uchafu mkuu.
Hakuna nyumba tulizojenga mwasogwe mkuu na hakuna mahali niliposema tumejenga nyumba mwasongwe picha lazima nitaweka kuna vitu mafundi wanamalizia ili niweke picha kamil siwez kuweka picha ya nyumba ambayo bado hazijamaliziwa kupakwa rang nk coz maswal yatakuwa mengi
NB project nyingi tulizofanya ni za nyumba za Vyumba vitatu na kuendelea hizi za vyumba viwil ni apartments ndo ziko kwenye hatua ya mwisho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom