Miliki Nyumba mpya kwa milion 32 tu

Miliki Nyumba mpya kwa milion 32 tu

yaani nyumba zote hamjamaliza kujenga? Hakuna hata moja mliyojenga mkaimaliza kwa bei hiyo 32m ukaweka picha yake tukaona ikiisha inakuaje? au ndio tuendelee kusubiri mnamalizia. Yaani nyumba ikiisha picha hamna, ikiwa haijaisha picha zinakuwepo. Au kapuni imefunguliwa juzi juzi bado mpo kwenye finishing?
Well project nyingi tulizofanya ni za nyumba za Vyumba vitatu, vinne na kuendelea mostly ni za familia bt hizi za vyumba viwil tumefanya project chache coz ni za kibiashara zaidi apartments so hizi za vyumba viwil ni kama hiyo niliyoonyesha hazijamaliziwa ila kama ni kuona ubora wa kazi hizo picha za Vyumba vitatu vinne nilizotuma ulikuwa na uwezo wa ku questions kama tunakidhi viwango au laah bt all n all zikikamilika za Vyumba viwil nitazituma hapa coz nipo kujitangaza zaidi
 
Mkuu hiyo ya vyumba viwili kwa Mwanza mnajengea sh ngapi?...Nyumba ya vyumba viwili inachukua muda gani kwisha? Nyumba ya vyumba vi4 inachukua muda gani kwisha? Swali la mwisho: Kiwanja lazima kiwe na hati?Kwa mfano kina offer letter tayari ila inasubiri hati kutoka mnaweza kuanza kujenga?
 
Mkuu hiyo ya vyumba viwili kwa Mwanza mnajengea sh ngapi?...Nyumba ya vyumba viwili inachukua muda gani kwisha? Nyumba ya vyumba vi4 inachukua muda gani kwisha? Swali la mwisho: Kiwanja lazima kiwe na hati?Kwa mfano kina offer letter tayari ila inasubiri hati kutoka mnaweza kuanza kujenga?
Kiwanja kama kina offa ya letter ina maana tayari kimeshahakikiwa kuwa sehemu tunayojenga ni makazi ya watu na sio eneo la biashara wala viwandan
Kuhusu nyumba ya Vyumba viwil Mwanza tunajenga kwa garama hiyohiyo mil 32 maana tunakuwekea bati kama hizo unazoziona kwenye picha
93b9b649963513d9c33be7c871df00f1.jpg

Halafu tunakuwekea tiles za France au Italy grade two ukitaka za China tunakuwekea grade one so endapo kama hutahitaji hivi vitu vya kiwango ukataka ujenzi wa kawaida basi garama itapungua hadi mil 26 or 25
Kuhusu kukamilika kwa nyumba ndani ya siku 90 tutakukabidhi nyumba yako
Nyumba ya Vyumba vinne kwa Mwanza tutakujengea kwa mil 68 nyumba ya kiwango kizuri sana
ebaf4ceb2ddbe35e5bc36f8603d83e5d.jpg
sample kama hii mkuu ni nyumba ya Vyumba vinne karibu WhatsApp 0763772636
 
naomba kufaham kama mnatoa huduma ya kufanya finishing maana mm nina jengo ambalo limeinuliwa kuta na kupauliwa lakini nimeshindwa hela ya kufanyia finishing kama mko tayari kutoa huduma hiyo namba yangu ni 0743523740
 
naomba kufaham kama mnatoa huduma ya kufanya finishing maana mm nina jengo ambalo limeinuliwa kuta na kupauliwa lakini nimeshindwa hela ya kufanyia finishing kama mko tayari kutoa huduma hiyo namba yangu ni 0743523740
Ndio tunafanya Huduma hiyo naomba unitumie picha za Jengo WhatsApp na mahali lilipo piga picha pande zote ili tuweze kukufanyia makadirio ya kulimalizia
 
Mkuu hiyo ya vyumba viwili kwa Mwanza mnajengea sh ngapi?...Nyumba ya vyumba viwili inachukua muda gani kwisha? Nyumba ya vyumba vi4 inachukua muda gani kwisha? Swali la mwisho: Kiwanja lazima kiwe na hati?Kwa mfano kina offer letter tayari ila inasubiri hati kutoka mnaweza kuanza kujenga?
Tunajenga bei moja mkuu karibu sana tukujengee nyumba yenye kiwango
 
Hata kama una nyumba yako ungependa tukufanyie Renovation, kama una Nyumba yako haijamaliziwa na ungependa tukusaidie kumalizia karibu tuyajenge WhatsApp 0763772636
 
Mkuu hiyo ya vyumba viwili kwa Mwanza mnajengea sh ngapi?...Nyumba ya vyumba viwili inachukua muda gani kwisha? Nyumba ya vyumba vi4 inachukua muda gani kwisha? Swali la mwisho: Kiwanja lazima kiwe na hati?Kwa mfano kina offer letter tayari ila inasubiri hati kutoka mnaweza kuanza kujenga?
Mwanza tupo Buzuruga Plaza karibu kwa ujenz bora na material zenye ubora wa hali ya juu
 
Ni Vyumba viwil self vyote ukubwa 4.5*4.5 kwa chumba then sebule choo cha public, dining, store na jiko karibu sana mikoan kote tunafanya kaz mpaka zanzibar
Mbona kama vidogo sana hivyo vyumba
 
Mbona kama vidogo sana hivyo vyumba
Vinaudogo gan kiongoz kama chumba cha kawaida ni 3* 3? Masta ni 4.5*4.5 yaan chumba cha square almost 18?
3824d383286bd4f99ac714397c1433a2.jpg
e2227e7f4de0aed7c9ebb01efac6f45d.jpg
sasa kama Mfano hivi vinaudogo gani bosi?
 
Back
Top Bottom