Miliki Nyumba mpya kwa milion 32 tu

Miliki Nyumba mpya kwa milion 32 tu

Hakuna nyumba tulizojenga mwasogwe mkuu na hakuna mahali niliposema tumejenga nyumba mwasongwe picha lazima nitaweka kuna vitu mafundi wanamalizia ili niweke picha kamil siwez kuweka picha ya nyumba ambayo bado hazijamaliziwa kupakwa rang nk coz maswal yatakuwa mengi
NB project nyingi tulizofanya ni za nyumba za Vyumba vitatu na kuendelea hizi za vyumba viwil ni apartments ndo ziko kwenye hatua ya mwisho
Nimekuelewa mkuu nilijua ule uchafu wa Mwasonga ni wenu kaka.sasa nisaidie kwa uzoefu wako mkopo wa kumalizia nyumba yangu naweza kupata wapi?
 
si uiweke tu Mkuu. binadam wengine huwa tunaamini na kupenda kitu kwa picha
cc74bf2491c5a018783df3f26fb37a10.jpg
2c0f3320894c4ffa055c1fb7e39868f1.jpg
unaona kama hii kaka ni moja Kati ya nyumba za Room mbil bt hazijamaliziwa ndo maana nataka kazi ikiisha ndo niweke
 
Mbona unaji changanya,number 2 , unavutia wateja kwa kusema unalipa kidogo kidogo bila riba,3 unachomekea riba ya 8%
Anyway wazo zuri lakini
Namba 2 nilivyomuelewa. Unaendelea kulipa wakati ujenzi unaendelea hadi ujenzi wa nyumba hiyo utakapokamilika. namba 3. Baada ujenzi kuisha. ila bado hujamaliza deni. hapo ndipo riba inapoingia. kwahiyo ukimaliza deni kabla nyumba haijaisha hamna riba
 
Hanna contract na ma bank kama walivyofanya NHC kurahisisha kwa wasio na cash Ila wenyesifa za kukopesheka?!
Ipo ila utatakiwa kwanza ulipe 50% then itakayobakia ndo utalipa kidogo kidogo kwa riba ya 8%
 
Namba 2 nilivyomuelewa. Unaendelea kulipa wakati ujenzi unaendelea hadi ujenzi wa nyumba hiyo utakapokamilika. namba 3. Baada ujenzi kuisha. ila bado hujamaliza deni. hapo ndipo riba inapoingia. kwahiyo ukimaliza deni kabla nyumba haijaisha hamna riba
Umenielewa sahihi kabisa kiongoz
 
Ni Vyumba viwil self vyote ukubwa 4.5*4.5 kwa chumba then sebule choo cha public, dining, store na jiko karibu sana mikoan kote tunafanya kaz mpaka zanzibar
Mkuu kwa mfano nikihitaji vyumba 3,vyote vinakuwa self alafu bado mnaweka na choo cha public au inakuwaje?
 
Kwa mtu ambaye hajafanya finishing nyumba yake je mnamfayia kwa mkopo?
 
yaani nyumba zote hamjamaliza kujenga? Hakuna hata moja mliyojenga mkaimaliza kwa bei hiyo 32m ukaweka picha yake tukaona ikiisha inakuaje? au ndio tuendelee kusubiri mnamalizia. Yaani nyumba ikiisha picha hamna, ikiwa haijaisha picha zinakuwepo. Au kapuni imefunguliwa juzi juzi bado mpo kwenye finishing?
 
Kwa mtu ambaye hajafanya finishing nyumba yake je mnamfayia kwa mkopo?
Huyo tutampigia garama za kumalizia then atatulipa nusu then hiyo nusu atachagua yeye kulipa kidogo kidogo bila mkopo au kujengewa na kulipa kwa mkopo wa asilimia nane kwa kipindi tutakacho kubaliana?
 
Back
Top Bottom