pettymarcel
JF-Expert Member
- Jun 17, 2012
- 2,161
- 880
- Thread starter
- #221
.Karibu sana kiongoz
.Karibu sana kiongoz
10*9 so ni mita 90 kwa ujumla wakeNyumba ya milioni 32 inakuwa ya ukubwa gani mkuu? Hebu tupe details za kutosha hasa idadi ya vyumba na ukubwa wake na pia kama mnafanyakazi hata mikoani maana hali iliyopo sasa mifukoni nadhani nyie ndiyo mtakuwa kimbilio langu.
Mil.32 hiyo nyumba?kwa tofari zipi na bati hipi?kuweni wa kweli bwana..Acha ku run into conclusion bro
Hii ni sample ya nyumba ya Vyumba viwil bei mil 32 karibu tukuhudumie
Hii nyumba mil 32 nakataa kabisa..mie sio fundi lakini ninakibanda..Arusha zipo kwenye last finishing tumejenga mto wa mbuu, kijenge na Moshi Kibosho
Ila hapa kuna some zilizojengwathree bedrooms
Hii nyumba ni ujenzi wa kizamani hauwezi kusema hii nyumba unajenga kwa mil 32..nipe bei ya hilo paa tu kisha utasema hiyo nyumba ni mil 32.even before finishing.unaona kama hii kaka ni moja Kati ya nyumba za Room mbil bt hazijamaliziwa ndo maana nataka kazi ikiisha ndo niweke
Asante mkuuGood move. Hawa vidakadaka mavi wanaowakatisha tamaa msieawaze sana. Ni kama mazombi tu wa kwenye TV
Sijakuelewa kiongoz kwahiyo hii nyumba ulitaka ijengwe kwa mil ngapi bossHii nyumba ni ujenzi wa kizamani hauwezi kusema hii nyumba unajenga kwa mil 32..nipe bei ya hilo paa tu kisha utasema hiyo nyumba ni mil 32.even before finishing.
Nyumba za sasa hazina kenop design hiyo..
Asante shangaoHongereni sanaa mkuu kwa nilichokiona humu
Hizi bei gani kujengewa?Arusha zipo kwenye last finishing tumejenga mto wa mbuu, kijenge na Moshi Kibosho
Ila hapa kuna some zilizojengwathree bedrooms
Mil 54Hizi bei gani kujengewa?
Mil 320 bossInaenda ngapi hii mkuu????@iaminspired