Miliki Nyumba mpya kwa milion 32 tu

Miliki Nyumba mpya kwa milion 32 tu

51300e4d209419401d3ae8a9a1e0604f.jpg
 
Kwanini huamini mkuu wakati tofauti ya Vyumba vinne na Vyumba viwil ni square meta material zote ni quality moja


UKIAMUA KUFANYA BIASHARA NDUGU YANGU, KUWA MUWAZI, MTEJA AKIULIZA SWALI JIBU KWA UFASAHA, USIFICHEFICHE; SIKU ZOTE MTEJA NI MFALME. SASA WEWE UNAAMBIWA WEKA PICHA YA 32M UNASUASUA, KWANI UNAONA TABU GANI KUWEKA PICHA HIYO?????? UNAPOSEMA NYUMBA YA 32M ONESHA NA PICHA YAKE; NYUMBA YA 72M ONESHA PIA PICHA YAKE, HIYO NDIYO BIASHARA, VINGINEVYO TUNAKUWA NA MASWALI MENGI YASIYOKUWA NA MAJIBU!!!!!!!!!
 
UKIAMUA KUFANYA BIASHARA NDUGU YANGU, KUWA MUWAZI, MTEJA AKIULIZA SWALI JIBU KWA UFASAHA, USIFICHEFICHE; SIKU ZOTE MTEJA NI MFALME. SASA WEWE UNAAMBIWA WEKA PICHA YA 32M UNASUASUA, KWANI UNAONA TABU GANI KUWEKA PICHA HIYO?????? UNAPOSEMA NYUMBA YA 32M ONESHA NA PICHA YAKE; NYUMBA YA 72M ONESHA PIA PICHA YAKE, HIYO NDIYO BIASHARA, VINGINEVYO TUNAKUWA NA MASWALI MENGI YASIYOKUWA NA MAJIBU!!!!!!!!!
Asante kwa ushauri lakini ungefuatilia mpaka mwisho ungeona kuwa huyu mtu nilishamjibu na sample zote nilimpa za project zote na tofauti ya Vyumba kama alivyohitaj
 
Hesabu hazidanganyi,na sisi ni wataalam pia;
Angalia mchanganuo hapa.
Cost per gross floor area = 650,000/=
(1).Size ya vyumba viwili vya kulala=2x4.5x4.5metre= 40.5sqmx650,000= 26,325,000
(2).Size ya sebule = 4x3.5metre = 14sqmx650,000 = 9,100,000
(3).Dining room = 3x2.7metre = 8.1sqmx650,000 = 5,265,000
(4).Jiko = 2.1x2.1metre = 4.41sqmx650,000 = 2,866,500
(5).Baraza = 1.2x2metre = 2.4sqmx650,000 = 1,560,000
TOTAL = 45,116,500 Tsh VAT inclusive.
Nawakilisha wadau,huo ndio ukweli wa kitaalaam.
 
Hesabu hazidanganyi,na sisi ni wataalam pia;
Angalia mchanganuo hapa.
Cost per gross floor area = 650,000/=
(1).Size ya vyumba viwili vya kulala=2x4.5x4.5metre= 40.5sqmx650,000= 26,325,000
(2).Size ya sebule = 4x3.5metre = 14sqmx650,000 = 9,100,000
(3).Dining room = 3x2.7metre = 8.1sqmx650,000 = 5,265,000
(4).Jiko = 2.1x2.1metre = 4.41sqmx650,000 = 2,866,500
(5).Baraza = 1.2x2metre = 2.4sqmx650,000 = 1,560,000
TOTAL = 45,116,500 Tsh VAT inclusive.
Nawakilisha wadau,huo ndio ukweli wa kitaalaam.
Mkuu hizi ni hesabu za Vyumba viwili?
If yes nakataa mkuu kwanza size ya Vyumba vyetu masta ni 5*5.5 chumba cha kawaida ni 4*3.5meta
Hiyo garama yako ya mil 45 ni kubwa sana na nikiangalia ukubwa wa Vyumba vyako ni vidogo
Hiyo nyumba yako yote sidhAn kama inafika meta 90
Pili sisi tumekuambia tunakujengea kwa mil 32 tutakuandalia BOQ ili kujiridhisha na ujenz wetu utajua kiasi cha mchanga, cement, matofali, nk kila zagazaga tutakokotoa na kabla ya kuandikishiana mkataba tutakupa usome na mwanasheria wako ujiridhishe then ndo tutaatach BOQ yako sambamba na mkataba tutasaini mbele ya mwanasheria then wakati wa kukukabidhi Nyumba BOQ can be one of reference za makubaliano ya kaz
 
Hesabu hazidanganyi,na sisi ni wataalam pia;
Angalia mchanganuo hapa.
Cost per gross floor area = 650,000/=
(1).Size ya vyumba viwili vya kulala=2x4.5x4.5metre= 40.5sqmx650,000= 26,325,000
(2).Size ya sebule = 4x3.5metre = 14sqmx650,000 = 9,100,000
(3).Dining room = 3x2.7metre = 8.1sqmx650,000 = 5,265,000
(4).Jiko = 2.1x2.1metre = 4.41sqmx650,000 = 2,866,500
(5).Baraza = 1.2x2metre = 2.4sqmx650,000 = 1,560,000
TOTAL = 45,116,500 Tsh VAT inclusive.
Nawakilisha wadau,huo ndio ukweli wa kitaalaam.
Nyie wataalam bei zenu wanaweza serikali na taasisi zake.
 
Mnajenga vinzuri isipokuwa mmekosa kujali privacy ya mteja. Nimeona kwenye website yenu mmeweka nyumba mlizojenga mkitaja na majina ya wamiliki. Mbaya zaidi kuna mahali mtu kauliza bei ya nyumba ya mmoja wa mteja wenu, bila kujali privacy ya mteja mkaitaja bei hiyo. Hii sidhani kama ni approach nzuri. Jaribu kujirekebisha na kujitahidi kutunza privacy ya mteja
 
Mnajenga vinzuri isipokuwa mmekosa kujali privacy ya mteja. Nimeona kwenye website yenu mmeweka nyumba mlizojenga mkitaja na majina ya wamiliki. Mbaya zaidi kuna mahali mtu kauliza bei ya nyumba ya mmoja wa mteja wenu, bila kujali privacy ya mteja mkaitaja bei hiyo. Hii sidhani kama ni approach nzuri. Jaribu kujirekebisha na kujitahidi kutunza privacy ya mteja
Asante kwa kuliona hilo ila naomba kukujulisha kuwa kabla ya kuweka hizo picha tuliomba ridhaha kutoka kwa hao wateja wetu wakakubali ndio maana tumetaja mpaka na majina yao maana walikubali wapo wengine ambao timewajengea wamekubali tupige picha ya majengo ila tusitoe majina yao nao tuliheshimu maamuzi yao
So naomba kukuhakikishia kuwa hao wateja wetu tuliwaomba wakaturuhusu asante
 
Back
Top Bottom