Miliki nyumba mpya kwa mil 32 tu

Miliki nyumba mpya kwa mil 32 tu

Kwa mwenye kuhitaji kujengewa simple house of one bedroom masta sebule dining jiko store kwa garama ya million 16 tu plz wasiliana na sisi kwa WhatsApp 0763772636 nikuonyeshe sample za mchoro
16 ikijumuisha na finishing zote mkuu?
 
Mkuu waweza nijengea nyumba kwa milioni 15 kutegemea na ukubwa wenyewe?
 
Kwa mwenye kuhitaji kujengewa simple house of one bedroom masta sebule dining jiko store kwa garama ya million 16 tu plz wasiliana na sisi kwa WhatsApp 0763772636 nikuonyeshe sample za mchoro
Kwa asilimia ngapi inakamilika??
 
kazi kazi bado ujenzi unaendelea nyumba ya mteja wetu ikiwa katika hatua za umaliziaji
IMG-20180629-WA0023.jpg
 
Habari mkuu

Nimeiona kaz zenu nimezipenda swali ni kwamba je mnaweza kujenga Kwa awamu Yani nkajenga mpaka Boma liishe halaf napiga na bati baada ya hapo nasubir tena Muda naanza finishing za ndan mdogo mdogo
 
kwa viwanja vya Mbezi, Mpiji Magoe, Goba, Kimara hiyo hela haitoshi, ila kwa CHANIKA, Kigamboni, , Vikindu, Kibaha inawezekana kwa hiyo 32M
 
Habari mkuu

Nimeiona kaz zenu nimezipenda swali ni kwamba je mnaweza kujenga Kwa awamu Yani nkajenga mpaka Boma liishe halaf napiga na bati baada ya hapo nasubir tena Muda naanza finishing za ndan mdogo mdogo
ndio inawezekana kabisa kwani wapo wateja wengi wanaofanya ivo hata huyu alijenga kwa awamu hakujenga moja kwa moja whatsapp me 0763772636
IMG-20180706-WA0110.jpg
 
Back
Top Bottom