RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 59,506
- 135,539
Kama una watoto jenga ya vyumba vingi.Sasa iko chumba kimoja watoto unawalaza sebuleni au
Kama una watoto jenga ya vyumba vingi.Sasa iko chumba kimoja watoto unawalaza sebuleni au
Kali boss ila chumba kimoja sio. Bora viwilihuu ndo unyama ninaouelewa
hii ni squ 166 inavyumba vinne cost yake ni mil 74 mpaka ikamilike na kukabidhiwa mtejaDada petty! Hii ina ukubwa wa sq ngapi? Inavyumba vingapi? Na imecost kwa ngapi?
viwili tunajenga pia karibuKali boss ila chumba kimoja sio. Bora viwili
karibu sanaNimevutiwa sana ngoja nije
ndio kiongoz tunajenga popote Tanzania hadi zanzibarSawa mkuu tutakutafuta , si hata mikoani unakuja
Hizo ni za kibachela zaidii. Wewe mwenye familia huwez kuwa na nyumba hyo.Sasa iko chumba kimoja watoto unawalaza sebuleni au
Mkuu ni vema ungekua unawaambia watu ata ukubwa wa nyumba (ukubwa wa sebule,kitchen,bedroom) ili mtu apate uhalisianyumba ya vyumba viwili sebule dining store jiko pubic toilet and bathroom imejengwa kwa milion 32 tu karibu tukuhudumie 0763772636 whatsapp usView attachment 812748View attachment 812749
Viwili mnajenga kwa sh ngapi?viwili tunajenga pia karibu
Mbona madirisha yapo chini sana?wakati ikiwa kwenye hatua za finishingView attachment 811735