Miliki nyumba mpya kwa mil 32 tu

Miliki nyumba mpya kwa mil 32 tu

Nauza kiwanja maeneo ya Tandika karibu kabisa na chuo cha bandari Dsm kiwanja kimepimwa kina hati miliki na hakidaiwi na serikali ukubwa wa kiwanja ni square meter 826 bei ya kiwanja ni milion 350 tu maongezi kidogo yapo
mimi ndiye mmiliki halali wa kiwanja kwa mwenye kuhitaji tafadhali tuwasiliane kwa 0763772636

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo bei mkuu!?
 
Kwa nini mnasema ni utapeli? Mbona hapa Dar yupo anayejenga nyumba kama hiyo kwa 25 milioni tuu, amefanya na anafanya wateja kibao, ndani ya siku 60 anakukabidhi nyumba yako kiwanja chako, umeme, maji ndani, 0715829576
Mhh! Utapeli mwingine huo!!!!!
 
Mkuu mkimjengea mtu nyumba ni pamoja na mambo yote ya ndani? Kama tals, kama ia nyimba nzima? na pia mnatia makabati ya jikoni? , kama chooni shower na nk au unakuwaje?
 
Back
Top Bottom