Miliki nyumba mpya kwa mil 32 tu

Kwakuwa babu yako alikudanganya ili ujenge nyumba yako ni lazima uwe engineer, QS au valuer...

Unasahau naweza kuwaajiri wao wanijengee na hivyo nalazimika kuwahoji...

Dogo... unapohoji ishu yoyote ya kisheria si lazima uwe Tundu Lissu.

Think and grow up, grandson/daughter...
Kuna tofauti kati ya kuhoji kitu unachokijua na kuhoji kitu usichokijua...

Lazima muwe na Lugha tofauti mkuu!

Be humble..!
 
Kama kiwanja chako hakijapimwa karibuni tunatoa na Huduma ya upimaji viwanja kwa garama Rafiki kabisa
 
Habari wakuu one2onefocus limited ni kampuni inayojihusisha na maswala ya kujengea wateja nyumba kwa bei rafiki kabisa zaidi ya yote unaweza kufanya malipo kidogo kidogo bila riba yeyote

Mfano nyumba ya Vyumba viwili vikubwa na self, sebule, jiko, store,jiko, dining room na choo cha public ni shiling milion 32 sasa wewe unaweza kutulipa asilimia 50% ya bei husika yaani mil 16 halafu sisi tutajenga nyumba yako yote baada ya hapo tunakuita kuja kuhakiki ukiridhika utamalizia hizo mil 16 zilizobakia taratibu bila riba yoyote ukimaliza kulipia tutakukabidhi nyumba yako na itakuwa chini ya uangalizi wetu kwa miaka mitatu chochote kitakachoharibika kitafanyiwa marekebisho bure na kampuni kwa Maelezo zaidi na sample za kazi zetu tembelea pia waweza kunipigia kwa namba 0763772636 au 0789047874 au waweza kunichek WhatsApp kwa 0763772636 karibuni sana milki Nyumba yako sasa
Pia tunahusika na upimaji wa viwanja kama una kiwanja chako ambacho hakijapimwa karibu tukupimie kwa bei rafiki kabisa nichek kwa 0763772636/0789047874

View attachment 472851View attachment 472852View attachment 472853View attachment 472854
whatsap 0763772636 au piga 0789047874/0763772636
Kujenga nyumba ya vyumba viwili mnafanya kwa muda wa siku ngapi?
 
Bongo bana!! kwa kuchora tuu saaafi!!!!!!!!!!!!! sasa ije kwenye jego halisi sasa ....maweeee tofauti kabisa na mchoro!!!!!!!!!!!material sub standard ili kufikia hiyo 32m. Ingekuwa viziri kama mngeweka picha za nyumba halisi sio hizi za outodesk
 
Ungeondoa hilo neno "tu" ktk hiyo 32 ningeupitisha huu mradi wako kuwa ni mzuri,
Lkn kutokana na hilo neno "tu" nitakuunganisha ktk list ya bwana Daudi Bashite
 
Bongo bana!! kwa kuchora tuu saaafi!!!!!!!!!!!!! sasa ije kwenye jego halisi sasa ....maweeee tofauti kabisa na mchoro!!!!!!!!!!!material sub standard ili kufikia hiyo 32m. Ingekuwa viziri kama mngeweka picha za nyumba halisi sio hizi za outodesk
Kama wewe ni mjenz kweli karibu ofisini tutakupa hitaji la moyo wako hofu ondoa
 
Haya maswali anayakwepa sana
Nimekwepa wapi kijana acha uvivu wa kusoma kwenye Tangazo langu nimeelezea kila kitu sasa sijui nimekwepa nini labda
OK ofisi zetu zipo Makumbusho complex floor ya kwanza kwa Dar na Mwanza tupo Buzuruga Plaza karibu boss
 
Ungeondoa hilo neno "tu" ktk hiyo 32 ningeupitisha huu mradi wako kuwa ni mzuri,
Lkn kutokana na hilo neno "tu" nitakuunganisha ktk list ya bwana Daudi Bashite
Je wajua maana ya neno Tu? Kama hujui uliza au Rudi darasan kwanza penda kujifunza mambo mapya kila siku itakusaidia kupanua ufahanu wako mkui
 
Back
Top Bottom