pettymarcel
JF-Expert Member
- Jun 17, 2012
- 2,161
- 883
- Thread starter
- #421
,,,
Hii nyumba iko pande zipi? Nina interest nayo![]()
![]()
Kazi ya mteja wetu maeneo ya moshi ikiwa katika hatua za mwisho karibu tukujengeee kwa uaminifu mkubwa na kwa wakati kabisa
IPO Moshi kiboshoHii nyumba iko pande zipi? Nina interest nayo
Hahaaa.mkuu unanikumbusha mbali sana . Chuo kwenye pindi la business lawInvitation to treat![emoji1493][emoji1493][emoji1493]
Amina mkuuSafi sana mkuu, tuombe uzima .
Ukipenda utawekewaHiyo nyumba ina chura?
Hili tangazo lina zaidi ya mwaka sasa sisi sio wasanii mkuu ungekuta malalamiko ya kutoshaHahaaa.mkuu unanikumbusha mbali sana . Chuo kwenye pindi la business law
Kk mko vzur ngoja nijipange ntawafata cku mojaLabda kwa kukujibu ni kuwa nyumba ya mil 32 ni nyumba ya Vyumba viwili sio vitatu Nyumba ya Vyumba vitatu yaan Masta bed moja Vyumba viwil sebule choo nk ni mil 50hii ni sample ya nyumba ya Vyumba vitatu view kwenye hiyo picha utaona tumekokotoa bati kiasi gan tofal ukubwa wa eneo nk![]()
Sawa kiongozKk mko vzur ngoja nijipange ntawafata cku moja