pettymarcel
JF-Expert Member
- Jun 17, 2012
- 2,161
- 883
- Thread starter
- #361
Tunashukuru sana kwa wateja wetu ambao mnazidi kutusapoti hakika tunashukuru sana kwa namna mlivoridhika na huduma zetu
Kiongozi pitia uzi mzima huu ni Uzi wa tangu mwaka Jana so kama kungekuwa na utapeli nadhani ungepata malalamiko kutoka kwa watejaHahahahah bango structural engineer ndo huyo huyo contractor, angalieni msiliwe pesa zenu kwa utapeli mpya wa mjini
Tunafanya hadi renovation kiongozi karibu sanaVip
Vipi kuhusu Renovation au umaliziaji/finishing work kwa nyumba ambayo haijakamilika, mnafanya na shughuli hizo au ni ujenzi wa nyumba mpya tu !!??
Website yenu haipoONE 2 ONE FOCUS.CO LTD ni Kampuni ya Kizalendo ,iliyosajiliwa na BRELA kwa Hati Namba ya Usajili 127281 na TIN Namba :
131-202-040.
Kampuni inajishughulisha na:
1.Ujenzi wa Majengo Mbalimbali.
2.Upimaji wa Viwanja
3.Utengenezaji wa Ramani.
4.Uuzaji wa Viwanja.
Kwa Ujenzi wa Nyumba Tunakujengea na Kufanya Finishing Kuanzia Hatua ya Awali Mpaka Mwisho wa Ujenzi.
Pia Katika Ujenzi Huo Tunakuwekea:-
1.Uwiano Mzuri wa Cements
2.Nondo za mm 12 ,mm 16 na mm 24 za Chuma Kulingana na Aina ya Ujenzi.
3.Mbao imara i.e Mikaratus,Saiprus
4.Mabati imara Kutoka Nje ya Nchi
5.Tiles Daraja la Kwanza.
6.Tunaweka Gypsum
7.Tunaweka Fremu,Milango
8.Milango ya Mbele na Nyuma Kuwekewa Grill.
9.Tunaweka Fitting za Makabati,Mifumo ya Maji,Makabati ya Jioni.
10.Wiring ya Umeme.
Tupigie kwa:-
0763772636 WhatsApp
0789047874 call
Petty Marcel
SALES REP
ONE2ONE FOCUS
MAKUMBUSHO COMPLEX
DAR-ES-SALAAM
Pia Tuna Ofisi Jiji la Mwanza
BUZURUGA COMPLEX
MWANZA
Sijajua itakuwa imepata shida gani nimeshapeleka malalamiko kitengo cha IT ndo wanafanyia kazi kiongozi maana tangu juzi inasumbuaWebsite yenu haipo
Vigumu kwangu kufanya maamuzi kwa maneno pekee na mimi Sipo bongo
Mimi bila website na enough info vigumu ku make decisionSijajua itakuwa imepata shida gani nimeshapeleka malalamiko kitengo cha IT ndo wanafanyia kazi kiongozi maana tangu juzi inasumbua
Ungekuwa Tz ningekushauri uje ofisini ili ujiridhishe kwa kila kitu na project ambazo tumeshakamilisha ukajionee kwa uhakika zaidiWebsite yenu haipo
Vigumu kwangu kufanya maamuzi kwa maneno pekee na mimi Sipo bongo
Karibuni sana kwa ujenzi bora tunajenga popote Tanzania
Kila kitu kiongozi wewe tunakukabidhi funguo tuHiyo TZS 32M inajumuisha kila kitu, material ya ujenzi, plumbing na umeme? Pia vipi kuhusu makaro ya maji taka?
Niwie radhi kwa maswali mengi.
Kila kitu kiongozi wewe tunakukabidhi funguo tu
Tumeingia ubia na viwanda mbalimbali ambapo tunapata material kwa bei zaidi ya kiwandani maana tumekubaliana kuchukua material kwao kwa project zetu so wanatupa material kwa bei rafiki zaidi na sisi tunajenga kwa bei rafiki ili tujenge imani na wateja wetu kuwa tunachokisema ndichoSijajua ubora wa kazi zenu lakini kwa mwendo huo nyie mnastahili kuitwa NHC.
Mnawezesha watu kumiliki nyumba kwa gharama nafuu. Naomba niulize tena, mnapata wapi material bora kwa bei nafuu kiasi hicho hadi mpate faida kwa hiyo bei?
Shukrani
Tumeingia ubia na viwanda mbalimbali ambapo tunapata material kwa bei zaidi ya kiwandani maana tumekubaliana kuchukua material kwao kwa project zetu so wanatupa material kwa bei rafiki zaidi na sisi tunajenga kwa bei rafiki ili tujenge imani na wateja wetu kuwa tunachokisema ndicho
Mkuu hii ni nyumba nayo ni ya mil 32??
Nimeshindwa kuifungua sijui ni nextwak naomba unitumie WhatsApp kwa 0763772636Mkuu hii ni nyumba nayo ni ya mil 32??
Leo ni mwaka tangu niweke hili tangazo mkuu je umeshaona MTU kalalamika kuibiwa? Nimeona nikukumbushe tu kuwa sio kama wewe sio mwaminifu usidhani na wengine wako ivoTime will tell...relax