Miliki nyumba mpya kwa mil 32 tu

Miliki nyumba mpya kwa mil 32 tu

ukitaka kujengewa utaratibu upo vipi..?
Kama huna ramani tunakuandalia ramani na BOQ kulingana na uhitaji wako jinsi unataka nyumba yako iwe na material za kutumia then ukishajiridhisha kwa kila kitu tutasainishana mikataba then utalipia 50% ya garama husika na sisi tutaanza kazi yako halafu awamu ya pili utalipia 30% awamu ya tatu 20% then within 3 to 4 months tutakukabidhi nyumba yako wakati wa ujenzi utakuwa ukishirikishwa hatua kwa hatua Swala zima LA ujenzi mpaka mwisho karibu sana
 
sawaa ssa mmi nna mpango wa ujenz kuanzia 2020 safari city arusha na nnataka nyumba ya 3 bedroom itakuwajee?
 
Ukifika huo wakati Mungu akitupa uzima tutawasiliana

Mkuu umesema nyumba ya vyumba viwili kwa milioni 32. Je nikitaka muongeze chumba kimoja cha meter 5 × 4 pamoja na toilet itafika bei gani?? Chumba kimoja tu mkuu.


Swali la pili.

Mnatumia milango ya aina gani kuniwekea, madirisha pia?

Napendelea zaidi madirisha makubwa yawe ya vioo.
 
Mkuu umesema nyumba ya vyumba viwili kwa milioni 32. Je nikitaka muongeze chumba kimoja cha meter 5 × 4 pamoja na toilet itafika bei gani?? Chumba kimoja tu mkuu.


Swali la pili.

Mnatumia milango ya aina gani kuniwekea, madirisha pia?

Napendelea zaidi madirisha makubwa yawe ya vioo.
Asante kwa maswali yako kabla ya Nazi yako kufanyika tunakuandalia ramani na BOQ endapo kama mteja hana ramani then baada ya hapo ile BOQ yako ndo itakueleza A to Z ya materia zitakazotumika na bei sasa endapo kama katika BOQ kuna ungependa kiongezwe au kupunguzwa ni wewe kama mteja kutoa maoni kulingana na mahitaji yako ila kazi zetu zote madirisha ni Aluminium milango mninga ukitaka options tofauti utasema ukikabidhiwa BOQ yako asante
 
dodoma mnafika? na vipi nyumaba yenye vyumba 3 mnajeng kwa bei gani?
 
Gharama za nyumba Kinondoni ni sawa na huku Kibondo mkoani kigoma?
Garama zitanadilika kulingana na eneo husika coz kuna maeneo mengine hakuna maji miundo mbinu sio poa nk so itaongezeka kidogo tu
 
WhatsApp me 0763772636
Mkuu asante kwa kuamua kutumia taaluma yko kwa ajiri ya manufaa ya wengi. Ni uamuzi mzuri wa kupongezwa

Ila mimi naomba kuuliza ww na wadau wengine kwnye hii ramani, Je wapi panahitaji marekebisho ili kuendana na ujenzi wa kisasa??

Karibuni
 

Attachments

  • Ramani+.JPG
    Ramani+.JPG
    38 KB · Views: 122
Back
Top Bottom