Basi waache ndugu..nadhani sio lazima kufanya nao kazi.Website yenu inaonyesha hamko makini hamja update website yenu kama kweli iko updated basi hamko makini kwenye forum yenu ya Q&A Kuna mtu kauliza swali toka mwaka jana hamjamjibu mpaka leo.
Na miradi mlioifanya iko michache kiasi kumuaminisha mtu awaone nyie kama ndio wakombozi.
So ile eneo ni kubwa au dogo kwa mtazamo wako?
Nyinyi mnachanganyana. Mmoja anazungumzia ukubwa wa kiwanja, mwingine ukubwa wa nyumba.Nilikuuliza eneo la nyumba nzima ukaniambia 25× 25!
Arusha ofisi zetu zipo Namvua Plaza Gorofa ya nne karibu kiongoz kuhusu matofali sisi tunatumia matofali kulingana na eneo husika nichek WhatsApp kwa 0763772636Mimi niko arusha mnapatikanaje? Na vipi sehemu yene udongo wa mfinyanzi km kisongo? Mnafanyaje?
Zile tofali za ku pachika na za kuchoma mna dili nazo mkubwa?Arusha ofisi zetu zipo Namvua Plaza Gorofa ya nne karibu kiongoz kuhusu matofali sisi tunatumia matofali kulingana na eneo husika nichek WhatsApp kwa 0763772636
Soma uelewe vizuri Tangazo mkuu Kiwanja ni chako sio chetu sisi yetu ni material na ufundi so suala la umeme kufika au kutokufika inategemea Kiwanja cha mteja kilipoHii nzuri aises , ila sijui maeneo ambayo nyumba hizo zinajengwa ni wapi na ni rafiki kwakuishi au ndio kule ambapo hata umeme hakuna,
Umeeleweka sasaSoma uelewe vizuri Tangazo mkuu Kiwanja ni chako sio chetu sisi yetu ni material na ufundi so suala la umeme kufika au kutokufika inategemea Kiwanja cha mteja kilipo
Jiongeze kaka kiwanja kina hati kabisa na kiko sehemu ambayo miundo mbinu ilishafikakula 4m
KaribuUmeeleweka sasa
Hivi mbona hampokei simu mnatia mashakaKaribuni wateja wetu one2one tunazidi kusonga mbele sasa tumefungua tawi letu jijini Arusha Namvua Plaza Gorofa ya pili karibu ujenge nasi kwa garama nafuu kabisa kwa mawasiliano zaidi piga 0763772636 pia napatikana WhatsApp kwa no hiyo hiyo karibu tukujengee kwa garama nafuu kabisa
Samahan sana bosi wangu nilikuwa bank nikashindwa kupokea naomba unisamehe kwa hilo ila waweza piga au nipe no nikupigieHivi mbona hampokei simu mnatia mashaka