Habari wakuu karibuni
www.one2onefocus.com kwa ujenzi bora na wa garama nafuu kabisa
Kwa shiling mil 32 tutakujengea nyumba ya Vyumba viwili, masta bedroom moja ukubwa 5.5*5 cha kawaida kimoja but self 4*3.5...sebule, Dining, store, jiko la kisasa na bafu na public toilet
Faida utakazozipata ukijenga na One 2 one focus Limited
1. Kama mteja huna Ramani tutakuandalia bure bila garama ya ziada
2. Unaweza kulipa asilimia 50% ya garama na asilimia nyingine 50% ukalipa kidogo kidogo wakati sisi tukiendelea na ujenzi bila shida
3. Unaweza kulipa 50% ya garama husika na hiyo 50% ukaja kumalizia kwa riba ya 8% hapa ina maana kwamba sisi tutamaliza nyumba yako halafu wewe utalipa kiasi kilichobakia kwa riba ya 8% kwa muda tutakaokubaliana
4. Tunakuandalia BOQ bure kabisa
5. Baada ya kukukabidhi Nyumba yako
Bado nyumba yako itakuwa chini ya uangalizi wetu kwa kipindi cha miaka 3
6. Tunaandikishiana mikataba ya project chini ya wanasheria wa pande zote mbili
Kutakuwa na mkataba wa kabla ya ujenzi na baada ya ujenzi
7. Tunafanya ujenzi popote Tanzania na visiwani
Kwa Maelezo zaidi
WhatsApp 0763772636
Call 0789047874
E-mail pettymichael92@gmail. com
Ofisi zetu zipo sehemu zifuatazo
Dar (Makao Makuu)
Makumbusho complex
Floor ya kwanza
Mwanza
Buzuruga Plaza
Floor ya pili
Arusha
Namvua Plaza
Floor ya Nne
Karibuni sana
One 2 one Nyumba yako Maisha yako
Kwa mawasiliano