Vitatu bei niniNdio mkuu nyumba ya Vyumba viwil
Nimtizamo nasubiri ushuhuda...Usipende ku kremisha bosi material kama mabati sisi kama kampuni tuna kiwanda kidogo cha kuproduce pia matofali tuna mashine tuna shamba la miti ya mbao so usihukumu moja kwa moja come to the ofisi
Time will tell...relaxKuna mbuzi wako faster kuita wenzao matapeli
Mleta uzi ameonesha ofisi zao na ametoa website ya ofisi yakeTime will tell...relax
Karibu sana mshanaNitawacheki
Kujiuliza na kutafakari ni kipande cha sehemu ya ukamilifu kiakili.We uwe unaenda kichwakichwa kila siku utakuja jibamiza mbele ya treni.If the man is genuine that is perfect. Wengine tulishaambiwa na babu zetu kitambo "for any sweet deal watch out with four eyes".Wabongo hatuna jema, na niepesi sana kuhukumu
Karibu ofisini kwetu makumbusho complex au Buzuruga Plaza kwa Mwanza utapata maelezo yote ya maswali yakoHapo ni lazima tuelewane QS material ninazotaka mimi au ni wewe uniletee zile fekeroo za China? Kama ni cheap building material ni lazima bei iwe cheap sana. Kwa mil 32 nikitumia normal material ni nyumba ya kawaida ya rooms tatu. Sasa ukweli tangazo lako haliko sawa kwa kuwa pia ujenzi na gharama unategemea mambo mengi mno.
Vyumba vitatu self, sebule, dining, store, jiko la kisasa na choo cha jumuia ni sh mil 50 tu mkuu karibu ofisini tuyajengeVitatu bei nini
Karibu sana bossi wanguMpo vizuri nitawatembelea
Asante mkuu kwa swali lako zuri kutokana na uzoefu wa kazi yetu kwa zaidi ya miaka 8 sasa tuna Engineer wazur na wenye uzoefu na kazi tunajiamini na kazi zetu ndio maana tunakuambia lipia nusu najua baada ya kumalizia utaipenda tu maana sisi hatufanyi kazi kwa kubahatisha karibu ofisini mkuu wangu picha za project zetu hiziUmesema mteja analipa mil16 kisha mnamjengea akiridhika atamalizia, vipi kama mteja hataridhika mtamrudishia pesa yake au mnautaratibu gani..?
Halafu ingekuwa vyema ukaweka picha za nyumba ambazo tayari mmekwishajengea wateja...
Hii kazi hatujaanza leo kaka yangu tuna miaka zaidi ya saba tembelea website yetu www.eyesonproperties.co.tz njoo ofisini kwetu katika branch za Mwanza tupo Buzuruga Plaza na kama upo Dar njoo makumbusho complex karibu tukujengee usiwe na dhana potofu mkuuTime will tell...relax
Asante kwa Maelezo yako mazuri kaka unajua tunatofautiana kwenye uelewa so tuwavumilie maana wanadhan kila kitu ni utapelMleta uzi ameonesha ofisi zao na ametoa website ya ofisi yake