suburi hapo hapo mkuu mambo bado kidogo
Hata Gadaffi alikuwa anasema hivyo hivyo kuwa panya hawawezi matokeo yake yeye ndiye akatolewa kwenye mtaro wa maji ya chooni.Tulisha wazoea na mkwara yao ya kilodilofa, muulize slaa amesahau siku ile alivyowadanganya Wana Arusha wakeshe kushikiza Lema Atolewe Jela najua anakumbuka yaliyomkuta baada ya kuchezea kichapo kikali pamoja na kujificha chini ya Meza huku Kamanda wake Mbowe akikimbilia Hai na Lema wao kueendelea kusoteshwa Jela kubeba Mtondoo kwa wiki nzima; Chezea Dola wewe jaribuni muone
Naona Watu wameanza kupanda kwenye Costa I hope mnahama nao hao hao tena, Chadema bwana hamuoni mnapoteza resource na nguvu zenu bure kwani hao watu cwamesikia hoja na sera zenu kwenye mkutano wenu hapo iweje tena mhame nao?Nassari amesamaliza kuhutubia na mkutano unahamia Tengeru.
Naomba mtu update pande za Dom nnapokaa Tanesco washasambaza giza.
IQ yako ni below 20. Because you are a blockhead let me ignore you completely.Naona Watu wameanza kupanda kwenye Costa I hope mnahama nao hao hao tena, Chadema bwana hamuoni mnapoteza resource na nguvu zenu bure kwani hao watu cwamesikia hoja na sera zenu kwenye mkutano wenu hapo iweje tena mhame nao?
umati ulioko hapa tengeru ni mafuriko, wewe kama ni magamba njoo hapa ushuhudie, ccm kwisa habari yakeNaona Watu wameanza kupanda kwenye Costa I hope mnahama nao hao hao tena, Chadema bwana hamuoni mnapoteza resource na nguvu zenu bure kwani hao watu cwamesikia hoja na sera zenu kwenye mkutano wenu hapo iweje tena mhame nao?
Naona Watu wameanza kupanda kwenye Costa I hope mnahama nao hao hao tena, Chadema bwana hamuoni mnapoteza resource na nguvu zenu bure kwani hao watu cwamesikia hoja na sera zenu kwenye mkutano wenu hapo iweje tena mhame nao?
Kweli mngeshinda kama yale masanduku yangefanikiwa kuingia.Mkakati wetu ni ushindi wa kishindo na methology zetu za ushindi hazizuiliki hivyo kesho mapemaa 4 usiku Sioi anatangazwa mshindi na tarehe 10/4/12 anaapishwa rasmi
Bucho,
Mi naomba tu unikumbushe: Bangi ikiota inakuwa na rangi ganiiiiiiiiiiiiiiii???????????
Mkuu kaanzisha thread toka saa 11 asubuhi anasema eti tayari watu 10,000 wameshajaa King'ori kumsubiri Sioi kaona members wamempuuza anakuja kufanya fujo huku.You are a mere Prostititute,how can you be in two places at one time?
umati ulioko hapa tengeru ni mafuriko, wewe kama ni magamba njoo hapa ushuhudie, ccm kwisa habari yake
vp watu kutoka moshi wamefika ?????