Ziltan
JF-Expert Member
- Aug 20, 2011
- 2,735
- 7,010
Chadema wakishinda najinyonga makamanda.
wakati mwingine gamba huzingua kama bangi,
Chadema wakishinda najinyonga makamanda.
Aisee haijawahi kutokea watu ni wengi sana hapa Tengeru yaani kweli kifo cha CCM kifo chake kimefika haaaaah.
Chadema wakishinda najinyonga makamanda.
kuna mtoto anapiga rapu balaa, kweli ccm inakufa hiyo. 15 years ni mingi.hichi ndo kifo cha ccm
Chama cha Magamba-Lowasa
Chama cha Makahaba-Malima
Chama Cha Matusi-Lusinde
Chama cha Mashoga-Sioi
Chama cha Mauaji-Songea ,Arusha na Mbeya
Endeleeni
mh. silinde kamaliza kuongeawakuu inapendeza sana nauhakika kwa hali hii sijui
kamaliza mh. Msigwa na sasa ni kamanda Lemamh. silinde kamaliza kuongea
Chama cha Magamba-Lowasa
Chama cha Makahaba-Malima
Chama Cha Matusi-Lusinde
Chama cha Mashoga-Sioi
Chama cha Mauaji-Songea ,Arusha na Mbeya
Endeleeni
Chadema wakishinda najinyonga makamanda.