Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,118
- 27,950
Ndiyo tumshange huyo jamaa aenda huko ukerewe watu wanatumbukia ziwani akiibuka hawana nywele na kamwe hazioti je nako S'wanga na KataviHapana mkuu sijakutana na kioja chochote cha kichawi
Ndiyo tumshange huyo jamaa aenda huko ukerewe watu wanatumbukia ziwani akiibuka hawana nywele na kamwe hazioti je nako S'wanga na KataviHapana mkuu sijakutana na kioja chochote cha kichawi
Wewe uliishia pale Urwila Mission.Kuingia ndani wapi wakati niliwahi enda kuchanja chanjo huko ndani kwa utemini utaniambia nini ndgu yangu kafanya kazi miaka 15
Mission wapi kule ndani kabisa utemini
Kule Kavuu?Kuna kata inaitwa kibaoni kwa Mzeeeee pinda hapo napo nasikia sio kabisaaa
Mkuu nenda Mpanda radi zinauzwa nje nje jero tuu.Radi inpatikana eneo la namanyele ya kupima ukitaka bundle la week ipp
Haya mambo ni dhahania tupu!!,Hakuna ukweli wowote,mimi nimeolea huko na huwa ninakwenda kila mwaka,wala sijawahi kutana na mambo unayoyasimulia;Kuhusu magonjwa ya ajabu ndugu yangu ni kwamba "Kabla hujafa,hujaumbika",Duniani uwanja wa Shida,kuna magonjwa ya kutisha kuliko hata hayo ambayo wewe unastaajabia na kuona kwamba kweli yanahusiana kwa karibu na ushirikina,sivyo,hamna kitu km hicho.AFRIKA LINI TUTAACHANA NA UPUUZI HUU WA KUUPA HESHIMA YA JUU USHIRIKINA KULIKO MUUMBA WETU???.
Acha uongo unajua Mungu anakuona usiwatishe wenzioMkuu nenda Mpanda radi zinauzwa nje nje jero tuu.
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
hatarreeHuko kunguru hanyakui vifaranga vya kuku ananyakua Ng'ombe tu
hata bure siendi huko nitaendelea kuishia tunduma tu.........Kule Nkasi Sumbawanga kata ya Kipili hii kata ipo karibu na ziwa Tanganyika kuna Mzee mmoja aliuza kiwanja kwa Kijana fulani baadae yule Kijana akataka aanze ujenzi kwa kununua tofali. Kijana akamfuata mwenyeji wake yule Mzee kumuuliza kuhusu usafirshaji wa hizo tofali Mzee akamwambia Kijana tukubalie bei halafu wewe nenda zako utakuta Tofali zako zote hapa kiwanjani kwako wakati wanakubaliana hayo ilikuwa in saa12 jioni. Kesho yake asubuhi saa1 Kijana akarudi kwa Mzee kumpa hela ya usafirishaji kwenda anashangaa kukuta Tofali zote zipo pale kiwanjani. Kubwa zaidi lililomshtua ni kusikia wanakijiji wakilalamika kuwa usiku hawakulala na wote wameamka na Vumbi la Mchanga wa tofali kuanzia wanaume mpaka wakina mama kwa maana hiyo Mzee alibebesha kijiji kizima Tofali.
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
ni shidaaaaaaaaaa mpaka kiumeniHahahahaaa kipili noma.. Nimecheka sana..nikakumbuka watafiti wa UDSM walipoenda kufanya research ya maji Nkasi ile wamefika kupiga kambi usiku wake wakalala fresh..ile kuamkia sana Chale mpk kwenye vichwa vya mbo0 ikabidi wafungashe virago watimke!
Chala ya Rukwa njia pande ya kwenda Namanyere Nkasi na Mpanda Katavi, sio huko kwa wauza mbege na pureMkuu unaizungumzia Challa ipi?labda ya Moshi.
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Labda huo Umeme na nyumba nzuri ni wakimazingara.Chala ya Rukwa njia pande ya kwenda Namanyere Nkasi na Mpanda Katavi, sio huko kwa wauza mbege na pure