Finder boy
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 608
- 150
To be honest, Ukawa watasubiri sana, na issue siyo ukawa au ccm, issue ni yupi kiongozi bora anayefaa kuliongoza taifa letu? kwa mtazamo wangu nikiitazama ukawa sioni nani anaouwezo wa kuliongoza taifa hili?, ccm bado wapo ambao wanabusara kidogo. vijana tuliokatika vyama vya siasa tuwe na uzalendo wa kweli, wengi tunapenda maslahi yetu binafsi kuliko maslahi ya taifa, muda mwingine huwa najiuliza "Hayati Baba wa Taifa angefisadi mali zetu leo tungekuwa wapi?". kwa Ukawa namkubali mheshimiwa Zitto, kiukweli huyu ndo kiongozi wa mfano kwetu vijana tunaopenda siasa na hasa nchi yetu.