albuluushiy
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 1,404
- 687
Mikoa ya Pwani usiichezee imeshatoa maraisi watatu hadi sasa
1.Mwinyi
2.Mkapa
3.Kikwete
na membe wa nne
Mikoa ya Pwani usiichezee imeshatoa maraisi watatu hadi sasa
1.Mwinyi
2.Mkapa
3.Kikwete
Ukifanya tafiti ndogo tu hapa inchini kuelekea General election 2015
Harakati za kisiasa na mwamko kwa wanainchi wake kudai mabadiliko mikoa ifuatayo kuiongoza Tanzania kwenda kubadili system nzima ya CCM escrow.
Makamanda hawajasinzia kama mikoa mingine, wamewahi kutuonyesha huko nyuma kwamba hawaogopi mapambano ya kisiasa kudai mabadiliko, wamewahi kuchukua mamlaka saa nyingine kwa mapambano makali na wakashinda, hawaishiwi umoja na mshikamano katika kudai haki.
Mikoa hii imekuwa chachu kubwa hata kwa vyama vya upinzani kueneza siasa yake hadi vijijini.
Sasa naitaja
1.Arusha
2.Mwanza
3.Shinyanga
4.Mara
5.kigoma
6.Rukwa
7.Mbeya
8.Kilimanjaro
9.Kagera
DAR ES SALAAM bado wanakula kwanza miguu ya kuku na kahawa plus simba na yanga.
Karibu wadau kwa maoni, mapendekezo na marekebisho.
Pia ushauri wapi UKAWA waongeze nguvu kukaribisha ushindi mapema 2015.
Jamani sasa mlitaka wakale wapi WAKATI mabilioni ya ruzuku yanaliwa makao makuu CHADEMA hayasambai mikoani wala wilayani wala vijijini.
Makao makuu wanapewa na kula mabilioni wakati mikoani,wilayani na vijijini wagombea wanaambiwa wawe wazalendo wajitolee chama hakina hela.Hivi watakula uzalendo na kulipia pango za ofisi uzalendo?
ukifanya tafiti ndogo tu hapa inchini kuelekea general election 2015
harakati za kisiasa na mwamko kwa wanainchi wake kudai mabadiliko mikoa ifuatayo kuiongoza tanzania kwenda kubadili system nzima ya ccm escrow.
Makamanda hawajasinzia kama mikoa mingine, wamewahi kutuonyesha huko nyuma kwamba hawaogopi mapambano ya kisiasa kudai mabadiliko, wamewahi kuchukua mamlaka saa nyingine kwa mapambano makali na wakashinda, hawaishiwi umoja na mshikamano katika kudai haki.
Mikoa hii imekuwa chachu kubwa hata kwa vyama vya upinzani kueneza siasa yake hadi vijijini.
Sasa naitaja
1.arusha
2.mwanza
3.shinyanga
4.mara
5.kigoma
6.rukwa
7.mbeya
8.kilimanjaro
9.kagera
dar es salaam bado wanakula kwanza miguu ya kuku na kahawa plus simba na yanga.
Karibu wadau kwa maoni, mapendekezo na marekebisho.
Pia ushauri wapi ukawa waongeze nguvu kukaribisha ushindi mapema 2015.
na membe wa nne
Propaganda yako dhaifu wahamiajindio nini sasa Mwanza ni mpakani au hata geographia ya darasa la 4 hukuwahi soma?
Ume-underestimate Singida.
Subiri matokeo serikali za mitaa
Pia Songea
Mhonzuyadilu sio mikoa bali ni miji tisa . sasa hiyo miji tisa ambako mnao washabiki tu na sio wapiga kura unategemea ati mtatung'oa madarakani....nenda wilayani katika mikoa hiyohiyo utaona wilaya nyingine tumechukua mitaa bila kupingwa na kwingine mko dhaifu... Huko kwenye hiyo miji tisa nakuhakikishia aidha tunazoa viti vyote au tunagawana viti
kHE! Mwinyi anatoka mkoa wa pwani? na ilikuwaje awe Rais wa Zanzibar wakati si Mzanzibar na Mkoa wa Mtwara(Mkapa,) ni miongoni mwa mikoa ya pwani? Kweli waliosema tanzania ni mojawapo ya nchi ambazo wananchi wake wana IQ ndogo sasa naanza kuwaamini
hujui kusoma au namba 8 ni niniumesahau kilimanjaro, kagera, mikoa iliyopo kisiwa cha
pemba
Munaosema vijijn hakuna upinzan mmekariri mambo, waviv wa kufkri na hamuendi vjijini nyinyi kutwa nzima na maguvu muliyonayo et munaingiza nyimbo na kuuza azam kwenye mastend! kwa taarifa yako sisi ndio wapga kura na tumeshagundua mnatujar kpind cha kampeni tumeshagundua UKAWA ndio wenzetu, wanaongea lugha inayofanana na yetu
Songea Baaado Sana Mkuu.
Shiit unanyea kambini eti dar wanakula miguu ya kuku na kaskazini wanashindia nin?mtoto wa miaka 6 kafa kilimanjaro kwa pombe kali inayopigiwa chapuo na chadema,wadanganyeni huko huko vijijini lkn dar es salaam mtakuskia tu huku watu si wajinga watu wanajielewa,hyo nyerere harakati za uhuru kazfanya wp?chini ya nan?km sio wazee wa dar ungekuwa unakoloniwa mpk kesho,ndio maana hamna influence jijini nendeni huko kwa washndia mbege sisi tuacheni na ccm yetu
Hiyo mikoa uliyotaja ni ya mipakani TANZANIA inakopakana na nchi zingine imejaa wahamiaji haramu wengi wanaojitia kujiingiza na kupenyeza itikadi zao za kimaruhuni kisiasa kupitia upinzani hasa CHADEMA.Yaani CHADEMA ni kisemeo cha wahamiaji wa nje na mataifa maruhuni ya nje.
Inaeleweka ni kwa nini CHADEMA inapendwa na kufadhiliwa hasa na Baadhi ya watu wanaokaa kwenye hiyo mkoa ya mipakani.
Na ndio maana Hata SLAA kiongozi wa CHADEMA alipinga sana Tanzania isiende kuwachapa M23 na isiwavurumishe wahamiaji haramu.
Freeman Mbowe alishawahi tamka kuwa nchi haitatawalika akijivunia hao wahamiaji haramu wakaao katika hiyo mikoa uliyotaja.Kipigo kwa M23 kilimfanya aufyate na aanze angalau kufikiria kutumia siasa za kistaarabu yeye na babu yake SLAA.Pigo kwa M23 lilikuwa pigo direct kwa CHADEMA na sera zao za kusema nchi haitatawalika.Pamoja na mbinu zingine ambazo CHADEMA imejaribu nchi isitawalike za kisiasa na kimaruhuni lakini TAI WA TANZANIA HAWALALI KUHAKIKISHA TANZANIA INAKUWA SALAMA NA INATAWALIKA NA WANANCHI WANAISHI KWA AMANI NA KUENDELEA NA SHUGHULI ZAO KAMA KAWAIDA
Hiyo mikoa mingine uliyoitaja kuwa imelala kisiasa kwa kutounga mkono upinzani kwenye kura ikiwemo DAR ES SALAAM ni mikoa ya watanzania halisi wazawa wenyewe ambao Hakuna mhamiaji haramu aweza wanunua wala kuwalisha itikadi zao za kipuuzi .
CHADEMA ni chama mwakilishi wa maslahi ya wageni wakiwemo waliotutawala wajerumani na waingereza kama kilivyo chama cha MDC cha Morgan Tsivangirai cha kule Zimbabwe.
Mhonzuyadilu sio mikoa bali ni miji tisa . sasa hiyo miji tisa ambako mnao washabiki tu na sio wapiga kura unategemea ati mtatung'oa madarakani....nenda wilayani katika mikoa hiyohiyo utaona wilaya nyingine tumechukua mitaa bila kupingwa na kwingine mko dhaifu... Huko kwenye hiyo miji tisa nakuhakikishia aidha tunazoa viti vyote au tunagawana viti