Mikoa tisa kuiondoa CCM madarakani

Mikoa tisa kuiondoa CCM madarakani

Ningekuwa kiongozi wa Ukawa, ningejizamisha katika mikoa uliyotaja tu, labda pamoja na miji mikubwa kama Dar. Tuna umaskini sana wa akili huko vijijini kiasi kuwa kuna watu hawajui kuwa CCM ni janga kwao. Wanaishi maisha ya mapangoni na wanaaminishwa kuwa ndiyo maisha wanayostahili. Hatuna viongozi wanaoona uchungu watu wao wakitaabika.

Mikoa hbiyo ina mwamako wa kutosha ndiyto maan imekuwa inatoa wabunge wa upinzani miaka yote
kwa kiasi fulani

ni kweli kabisa swahiba, ila nina shida moja kubwa... watu wa Dar tuna furaha gani?? mbona tunashindwa kabisa kuwasaidia masikini wenye shida wanaokosa madawa, elimu, maabara nk??

Mageuzi ya kweli ni lazima yawe na ikulu yake dar

ukawa wanahitaji kuwa na special Dar strategy ya kuwafanya watu wa dar kuelewa upinzani ni nini
 
Angalieni mikoa ile ile
Mwanza
Shinyanga
Kigoma
Arusha
Kilimanjaro
Rukwa
Kagera
Mara
Mbeya
Weweeee, acha uzandiki, UKAWA ndiyo habari ya mjini, tupo nchi nzima wewe ni ccm unaanza kutufitinisha, hamtuwezi hata mtumie mbinu zote chafu,huku kwetu tumetishiwa na risas lakini wapi, hatimaye tumeshinda kiulainiiii, vivaaa UKAWA peoples ...power. Lazima tuheshimiane.
 
Angalieni mikoa ile ile
Mwanza
Shinyanga
Kigoma
Arusha
Kilimanjaro
Rukwa
Kagera
Mara
Mbeya

EXACTLY UKO SAHIHI. ILA DAR NI KM 50//50 CITY CENTRE NDO OVYO LKN PEMBEZONI WANAJITAMBUA
PIA HATUHITAJI MIKOA MBULULA KAMA DODOMA. TANGA. PWANI. DUMBAWANGA. MIWILAYA OVYO KM NACHINGWEA. UMASIKINI PIA KUOMBAOMBA KUSHAWALEVYA. NI Kweli kabisa
 
Uchaguzi serikali za mitaa imekuwa namna hii je uchaguzi mkuu utakuwaje? Inaonesha ni jinsi gani watu wamechoshwa na serikali ya ccm.
 
Mkuu nidokeze ya Lindi, Mtwara na Tabora. Magamba wamemwagwa hadi huko?

Sina matokeo ya huko nilikuwa naziara mikoa ya kusini ndio nikaona hizo mishemishe. Nina jamaa yangu anagombea ubunge(MCHINJITA VS NAPE NNAUYE) kwa tiketi ya CUF hapo Lindi anaweza nijuza mambo yalivyo.
 
Iringa vipi

Iringa maigizo mengi!
eti walimchagua msigwa chadema kuwa mbunge lakini madiwani wote ccm !!!
Hao vagaya sida!! sidhani kama wanalo jipya! eti 2015 wanataka kumwacha jembe letu wanataka kumweka sijui mwanani!!
Vijana wengi hawajiandikishi kupiga kura!!
 
Subili hawajajua kwamba vijana wanapiga kampeni kila siku..wamechoka kufukuzana na polisi mjini.
 
ni kweli kabisa swahiba, ila nina shida moja kubwa... watu wa Dar tuna furaha gani?? mbona tunashindwa kabisa kuwasaidia masikini wenye shida wanaokosa madawa, elimu, maabara nk??

Mageuzi ya kweli ni lazima yawe na ikulu yake dar

ukawa wanahitaji kuwa na special Dar strategy ya kuwafanya watu wa dar kuelewa upinzani ni nini
Wanaishi kwa matumaini. Wengi wana uhusiano na watu wa serikalini ndiyo maana ya kuishi huko kwa matumaini
 
EXACTLY UKO SAHIHI. ILA DAR NI KM 50//50 CITY CENTRE NDO OVYO LKN PEMBEZONI WANAJITAMBUA
PIA HATUHITAJI MIKOA MBULULA KAMA DODOMA. TANGA. PWANI. DUMBAWANGA. MIWILAYA OVYO KM NACHINGWEA. UMASIKINI PIA KUOMBAOMBA KUSHAWALEVYA. NI Kweli kabisa

Umasahau morogoro na Tabora
 
Kwa taarifa yako hata vijijini ushindi wa CCM umepungua sana, sababu kubwa ni wananchi kuchoshwa kuchangishwa michango ujenzi wa mashule ili hali majengo yanayojengwa siyo bora na hayalingani na pesa zianzo changwa, pia kuungana kwa wapinzani kumeleta mshikamano kwa wananchi.

Tuhuma za ufisadi nao zimechangia kuwaamsha wananchi na hawaamini tena viongozi walio wengi kutoka wa CCM.


Ningekuwa kiongozi wa Ukawa, ningejizamisha katika mikoa uliyotaja tu, labda pamoja na miji mikubwa kama Dar. Tuna umaskini sana wa akili huko vijijini kiasi kuwa kuna watu hawajui kuwa CCM ni janga kwao. Wanaishi maisha ya mapangoni na wanaaminishwa kuwa ndiyo maisha wanayostahili. Hatuna viongozi wanaoona uchungu watu wao wakitaabika.

Mikoa hbiyo ina mwamako wa kutosha ndiyto maan imekuwa inatoa wabunge wa upinzani miaka yote
kwa kiasi fulani
 
Back
Top Bottom