Mikoa tisa kuiondoa CCM madarakani

Mikoa tisa kuiondoa CCM madarakani

ni kweli kabisa swahiba, ila nina shida moja kubwa... watu wa Dar tuna furaha gani?? mbona tunashindwa kabisa kuwasaidia masikini wenye shida wanaokosa madawa, elimu, maabara nk??

Mageuzi ya kweli ni lazima yawe na ikulu yake dar

ukawa wanahitaji kuwa na special Dar strategy ya kuwafanya watu wa dar kuelewa upinzani ni nini


Mkuu Janjaweed tatizo la Dar watu hawapigi kura kabisaaaa....
Jana niliamua kufuatilia hili, watu wengi tu wapikuwa busy kutafuta mechi za EPL kuliko kupiga kura. Mwingine nilimuuliza akasema, haimsaidii kitu...tatizo la uelewa ni shida, tena inasikitisha ni wasomi...
 
Last edited by a moderator:
Mkuu umesahau Moro inakuja sipidi inatisha maccm tegemeyo lao limebakia makao makuu
 
Aliye na matokeo kamili ya Bukoba tafadhari weka hapa tuone
 
Hili nakubaliana na we we mkuu dar vijana wengi no wavifu kufiri wanatafuta mlo was leo kesho itajisumbukia yenyewe mda mwingi wanatimia kushabikia mpira hawalewi maana kupiga kura hawajui hasara yakutokupiga kura
 
EXACTLY UKO SAHIHI. ILA DAR NI KM 50//50 CITY CENTRE NDO OVYO LKN PEMBEZONI WANAJITAMBUA
PIA HATUHITAJI MIKOA MBULULA KAMA DODOMA. TANGA. PWANI. DUMBAWANGA. MIWILAYA OVYO KM NACHINGWEA. UMASIKINI PIA KUOMBAOMBA KUSHAWALEVYA. NI Kweli kabisa
City center wanakaa maescrow na familia zao
 
Kajunjumele,
Dsm ina watu zaidi ya 10% ya watanzania wote.

Kwa kuongea tu, mimi imani yangu ni kuwa Darisalama inaonekana kutofanya vizuri katika mabadiliko ya siasa kwa sababu zifuatazo

1. Wastaafu wengi wanabakia Dsm. Hawa wengi wao ili maisha yaende wanajiweka karibu na viongozi wa CCM na kugombea nafasi za uongozi kupitia CCM

2. Wakazi wengi wazee waliohamia ama wazawa hawana kitu hivyo mtaji wao wa kipato ni CCM

3. Wafanya biashara wengi hawalipi kodi na hawana vibali sahihi kwa mujibu wa sharia hivyo ili kulinda biashara au kazi zao lazima wajiweke karibu na chama na serikali.

4. Kuna wafanyakazi wengi sekata ya Umma. Hawa nao wanafamilia zao,ili mambo yao yapate kuzunguka na kukalia ofisi zenye viyoyozi inabidi yajipendekeze kwa watawala (CCM).

....endelea......
 
Hiyo mikoa uliyotaja ni ya mipakani TANZANIA inakopakana na nchi zingine imejaa wahamiaji haramu wengi wanaojitia kujiingiza na kupenyeza itikadi zao za kimaruhuni kisiasa kupitia upinzani hasa CHADEMA.Yaani CHADEMA ni kisemeo cha wahamiaji wa nje na mataifa maruhuni ya nje.
Inaeleweka ni kwa nini CHADEMA inapendwa na kufadhiliwa hasa na Baadhi ya watu wanaokaa kwenye hiyo mkoa ya mipakani.

Na ndio maana Hata SLAA kiongozi wa CHADEMA alipinga sana Tanzania isiende kuwachapa M23 na isiwavurumishe wahamiaji haramu.
Freeman Mbowe alishawahi tamka kuwa nchi haitatawalika akijivunia hao wahamiaji haramu wakaao katika hiyo mikoa uliyotaja.Kipigo kwa M23 kilimfanya aufyate na aanze angalau kufikiria kutumia siasa za kistaarabu yeye na babu yake SLAA.Pigo kwa M23 lilikuwa pigo direct kwa CHADEMA na sera zao za kusema nchi haitatawalika.Pamoja na mbinu zingine ambazo CHADEMA imejaribu nchi isitawalike za kisiasa na kimaruhuni lakini TAI WA TANZANIA HAWALALI KUHAKIKISHA TANZANIA INAKUWA SALAMA NA INATAWALIKA NA WANANCHI WANAISHI KWA AMANI NA KUENDELEA NA SHUGHULI ZAO KAMA KAWAIDA

Hiyo mikoa mingine uliyoitaja kuwa imelala kisiasa kwa kutounga mkono upinzani kwenye kura ikiwemo DAR ES SALAAM ni mikoa ya watanzania halisi wazawa wenyewe ambao Hakuna mhamiaji haramu aweza wanunua wala kuwalisha itikadi zao za kipuuzi .
CHADEMA ni chama mwakilishi wa maslahi ya wageni wakiwemo waliotutawala wajerumani na waingereza kama kilivyo chama cha MDC cha Morgan Tsivangirai cha kule Zimbabwe.

Kumbe nchi hii bado inawatu wapumbafu kama wewe
 
EXACTLY UKO SAHIHI. ILA DAR NI KM 50//50 CITY CENTRE NDO OVYO LKN PEMBEZONI WANAJITAMBUA
PIA HATUHITAJI MIKOA MBULULA KAMA DODOMA. TANGA. PWANI. DUMBAWANGA. MIWILAYA OVYO KM NACHINGWEA. UMASIKINI PIA KUOMBAOMBA KUSHAWALEVYA. NI Kweli kabisa
hapo penye red sababu ipo wazi,lkn dar maeneo ya pembezoni ni pakubwa kuliko city centre hivyo kitaeleweka tu.
 
Huu upepo ni mbaya kwa CCM kila mahali saivi inategemea tu umeelekea mkoa gani muda huo.
 
Ukifanya tafiti ndogo tu hapa inchini kuelekea General election 2015
Harakati za kisiasa na mwamko kwa wanainchi wake kudai mabadiliko mikoa ifuatayo kuiongoza Tanzania kwenda kubadili system nzima ya CCM escrow.
Makamanda hawajasinzia kama mikoa mingine, wamewahi kutuonyesha huko nyuma kwamba hawaogopi mapambano ya kisiasa kudai mabadiliko, wamewahi kuchukua mamlaka saa nyingine kwa mapambano makali na wakashinda, hawaishiwi umoja na mshikamano katika kudai haki.
Mikoa hii imekuwa chachu kubwa hata kwa vyama vya upinzani kueneza siasa yake hadi vijijini.
Sasa naitaja
1.Arusha
2.Mwanza
3.Shinyanga
4.Mara
5.kigoma
6.Rukwa
7.Mbeya
8.Kilimanjaro
9.Kagera
DAR ES SALAAM bado wanakula kwanza miguu ya kuku na kahawa plus simba na yanga.
Karibu wadau kwa maoni, mapendekezo na marekebisho.
Pia ushauri wapi UKAWA waongeze nguvu kukaribisha ushindi mapema 2015.

MANYARA wapo njiani.
 
Mkuu Janjaweed tatizo la Dar watu hawapigi kura kabisaaaa....
Jana niliamua kufuatilia hili, watu wengi tu wapikuwa busy kutafuta mechi za EPL kuliko kupiga kura. Mwingine nilimuuliza akasema, haimsaidii kitu...tatizo la uelewa ni shida, tena inasikitisha ni wasomi...

Tatizo la wakazi wa Dar wengi ni mahousegirl na mahouseboy wastaafu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom