Jamani watu wa iringa tuondoleeni lukuvi.. Na watu wa Bunda tuondoleeni Wasira. Hawa watu wako tayari waue Watanzania wote ili kutetea uovu wa CCM na serikali yake.
Mwigulu naona yeye kajirekebisha kidogo.
Watu wa bariadi tuondoleeni chenge, siku tutakuja kuskia kaiuza ikulu.
Mwigulu naona yeye kajirekebisha kidogo.
Watu wa bariadi tuondoleeni chenge, siku tutakuja kuskia kaiuza ikulu.