Mikoa mibaya zaidi kufanya biashara ya Real estate au Nyumba

Mikoa mibaya zaidi kufanya biashara ya Real estate au Nyumba

Planet Data bundles

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
2,253
Reaction score
4,008
1.mbeya
najuta sana huu mkoa …biashara ya nyumba kupangisha au kuuza hapa hamna kabisa .Usije wekeza huku labda ujenge frame mwanjelwa na kabwe nje na hapo tusilaumiane
2.Iringa
huku nako biashara hii siyo ishu ukishindwa kupangiasha wanachuo utakesha
3.Katavi
4.Njombe
5……
 
1.mbeya
najuta sana huu mkoa …biashara ya nyumba kupangisha au kuuza hapa hamna kabisa .Usije wekeza huku labda ujenge frame mwanjelwa na kabwe nje na hapo tusilaumiane
2.Iringa
huku nako biashara hii siyo ishu ukishindwa kupangiasha wanachuo utakesha
3.Katavi
4.Njombe
5……
Mkuu unalosema linaweza kuwa kweli na hapo inaonyesha yote ni mikoa ya nyanda za juu kusini,unafikiri sababu inaweza kuwa nini? Na afadhari Iringa maisha yapo juu kidogo ila mbeya ndio dah! Nyumba na vyakula bei ipo chini sana
 
1.mbeya
najuta sana huu mkoa …biashara ya nyumba kupangisha au kuuza hapa hamna kabisa .Usije wekeza huku labda ujenge frame mwanjelwa na kabwe nje na hapo tusilaumiane
2.Iringa
huku nako biashara hii siyo ishu ukishindwa kupangiasha wanachuo utakesha
3.Katavi
4.Njombe
5……
Njoo Dodoma Hutajuta Mkuu, Huko Mbeya ni nyumbani!Sera ya kupanga nyumba huko haiko hata unga wa kununua ugali wenyeji wanakuona hujui matumizi ya fedha.Mtu akija mjini wazo lake kubwa ni kujenga hata kibanda hapo Mbeya ili asilipe Kodi ya kupanga!Ila Safi sana
 
Kila mtu ana nyumba yake.Sasa wapange ili iweje?
Mbeya,mtu anatoka,Kyela,Rungwe, Busokelo,Ileje nk , kutafuta maisha,wazo lake kichwani kwa Kazi yoyote,ajitoe kwenye kupanga nyumba!Atajenga hata room1.Kwa kuwekeza ujenzi wa nyumba za kupangisha kwa Sasa zaidi .
1: Dodoma.
1😀ar.
3:Arusha.
4:Mwanza.
5: Singida.
Huu ni utafiti wangu tuu!
 
Kuna mshikaji yangu mmoja tulikuwa nae Dar kibindi fulani alikuwa na hela mingi tu kwenye biashara zake, kwao ni huko huko Mbeya katika moja na mbili akaamua kwenda kujenga kwao na siku anahamia tulialikwa kwa kuwa sikuwa nmewahi kufika mbeya nikasema wacha nihudhurie nikaione Green City

🤣🤣🤣🤣 jamani jamani Mbeya ni kamji fulani hiviii kadogo sana, bajaji kama zote yaani ni fujo, jamaa kajenga sehemu moja Soweto mtaa unaitwa mabuchani kama sijakosea, vibaka kama wote usiku, kama huna usafiri hutembei ikishakuwa saa 4 usiku

Bahati mbaya jamaa biashara zake ziliyumba akauza baadhi ya mali alizokuwanazo ikiwemo na magari yake (alikuwanayo mawili) kabaki na nyumba

Nyumba ya vyumba vitatu, viwili vina vyoo ndani kimoja hakina, sitting kubwa dinning na jiko anapewa laki na nusu kwa mwezi

Bei ya chumba kimoja self hiyo Dodoma, kwakweli Mbeya hapana
 
Nyumba za aina gani?. Na aina za watu wanaitaji nyumba gani
 
Kuna mshikaji yangu mmoja tulikuwa nae Dar kibindi fulani alikuwa na hela mingi tu kwenye biashara zake, kwao ni huko huko Mbeya katika moja na mbili akaamua kwenda kujenga kwao na siku anahamia tulialikwa kwa kuwa sikuwa nmewahi kufika mbeya nikasema wacha nihudhurie nikaione Green City

🤣🤣🤣🤣 jamani jamani Mbeya ni kamji fulani hiviii kadogo sana, bajaji kama zote yaani ni fujo, jamaa kajenga sehemu moja Soweto mtaa unaitwa mabuchani kama sijakosea, vibaka kama wote usiku, kama huna usafiri hutembei ikishakuwa saa 4 usiku

Bahati mbaya jamaa biashara zake ziliyumba akauza baadhi ya mali alizokuwanazo ikiwemo na magari yake (alikuwanayo mawili) kabaki na nyumba

Nyumba ya vyumba vitatu, viwili vina vyoo ndani kimoja hakina, sitting kubwa dinning na jiko anapewa laki na nusu kwa mwezi

Bei ya chumba kimoja self hiyo Dodoma, kwakweli Mbeya hapana
Ngosha machine upo sahihi kabisa!Tena unaweza usilipwe hiyo Kodi!
 
Njoo Dodoma Hutajuta Mkuu, Huko Mbeya ni nyumbani!Sera ya kupanga nyumba huko haiko hata unga wa kununua ugali wenyeji wanakuona hujui matumizi ya fedha.Mtu akija mjini wazo lake kubwa ni kujenga hata kibanda hapo Mbeya ili asilipe Kodi ya kupanga!Ila Safi sana
Hata dododma hakuna kitu. Biashara ipo dar ,arusha, kilimanjaro, mwanza. Kwingine unakuwa baba mwenye nyumba tu. Dodoma ukiwa center nje maumivu
 
Uwekezaji wa real estate unahitaji umakini mkubwa na upembuzi yakinifu. Mfano uwekezaji ulifanyika Dar, kigamboni wa AVIC town.

Mradi wa AVIC ni mradi mzuri na mkubwa ingawa kimkakati ulikosewa sababu ulifanyika mbali sana nje ya mji, kutoka AVIC hadi katikati mji ni takribani 30km na zaidi na ukitaka ufike airport umbali unaongezeka zaidi. Kwa hiyo kuwapata wageni wanaokuja na kuondoka wanaokaa muda mfupi imekua ngumu sana na kupelekea mradi kuwa white elephant.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom