Jini la sh ngapi?Nipo Zanzibar natafuta jini
Hata laki tatu, nataka kuoa jini mkuu utajiri nje njeJini la sh ngapi?
Kumbe la kuoa? Nlidhani la kufanya fanya maflekechee nna jini la buku jero hapaHata laki tatu, nataka kuoa jini mkuu utajiri nje nje
Haya hua yanapenda jichoKumbe la kuoa? Nlidhani la kufanya fanya maflekechee nna jini la buku jero hapa
hahahaha..huu uzi ungekuwa batili kama MWANZA isingekuwepo.1.Njombe
2.Mbeya
3.Mwanza
4.Katavi
5.Rukwa
6.Dar
7.Simiyu