WIMICKY
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 1,428
- 1,571
sina group boss natuma hapa hapa
sina group boss natuma hapa hapa
Hio kampuni ilikulipa kweliTusichoke kujaribu odds milima jamanView attachment 1961194
Ndyo mkuu, walinipa changu mapema tu! Tena kwa kuniamsha na sms maana nikiwekaga odds mzigo huwa sizifatilii kwenye livescore, nlipopata sms ya hongera ndo nikacheki salio nikakuta mzigo umecheka!Hio kampuni ilikulipa kweli
Ok safiNdyo mkuu, walinipa changu mapema tu! Tena kwa kuniamsha na sms maana nikiwekaga odds mzigo huwa sizifatilii kwenye livescore, nlipopata sms ya hongera ndo nikacheki salio nikakuta mzigo umecheka!
Nimechukua Psg na Buyern pekee, nimestake high...wasipotoa basi wakuu nitakaa Kwanza pembeni Kwa muda. Maana kuna wakati nilikua nachukuaga timu 10 ikawa inachana moja tu. Nikaweka mikakati niwe nachukua timu mbili tu, bado pia ikawa inachana moja tu kwenye hizo hizo mbili. Juzi Ueropa nikasema nimchukue Napoli tu peke yake, kilichotokea mnakikumbuka.
Mkuu badili option weka hata GG alafu team mojaNimechukua Psg na Buyern pekee, nimestake high...wasipotoa basi wakuu nitakaa Kwanza pembeni Kwa muda. Maana kuna wakati nilikua nachukuaga timu 10 ikawa inachana moja tu. Nikaweka mikakati niwe nachukua timu mbili tu, bado pia ikawa inachana moja tu kwenye hizo hizo mbili. Juzi Ueropa nikasema nimchukue Napoli tu peke yake, kilichotokea mnakikumbuka.
Namimi leo natest mitambo hapa. Ntaweka 20k
Kampuni gani hii mkuu, maana unazipiga kinomatujaribu in playView attachment 1961153
Fatilia head to head, PSG huwa ana struggle sana kupata matokeo katika uwanja huoUko poa Sana mkuu...ila najiuliza, Psg mbona kapewa odd kubwa? au Game ndio wameshaiuza Kwa makampuni ya kubet
FBA00FDTRENI
A9BC917
BETPAWA
Chekecha the share code hapa...️️
tusaidie code mkuu?Mkeka wa leo (Chagua kipenda roho)
1) Liverpool wins or draws and U3.5, No BTTS
2) Annecy wins or draws
3) Shakhter Donetsky wins + O1.5
4) Mjondalen wins or draws.
5) Ashdod FC loses or draws
6) Belgrano wins or draws
7) NK Osijek wins or draws + U3.5
8) Randers wins or draws
9) Ionikos wins or draws
10) Crystal Palace wins or draws
11) Tottenham wins or loses, Draw no Bet + U3.5
12) West Ham wins or draws
13) Roma BTTS + O1.5
14) Sampdoria wins or draws
15) Bologna loses or draws
16) Verona BTTS + O1.5
17) Elche loses or draws
18) Arminia Benefield BTTS + O2.5
19) Villareal wins or draws
20) Getafe loses or draws
21) Royal Antwerp loses or draws
22) Ajax wins + BTTS
Duuh, hiyo changamotoTumia mawakala au M-PESA(SAFARICOM)
Odds ndogo kuliwa ni ngumu 2 mzee sisi wengine ishu ni stake ndomana tunabet odds nying kwa hel ndogoNimechukua Psg na Buyern pekee, nimestake high...wasipotoa basi wakuu nitakaa Kwanza pembeni Kwa muda. Maana kuna wakati nilikua nachukuaga timu 10 ikawa inachana moja tu. Nikaweka mikakati niwe nachukua timu mbili tu, bado pia ikawa inachana moja tu kwenye hizo hizo mbili. Juzi Ueropa nikasema nimchukue Napoli tu peke yake, kilichotokea mnakikumbuka.
Wakuu nataka nijitoe muhanga niweke laki moja...Psg win and over 1.5, Buyern win and over 2.5, Buyer Leverkusen 1st half win or Draw na Madrid win. Ushauri wakuu hapo.maana hela ya Kodi hiyo