Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Nimechukua Psg na Buyern pekee, nimestake high...wasipotoa basi wakuu nitakaa Kwanza pembeni Kwa muda. Maana kuna wakati nilikua nachukuaga timu 10 ikawa inachana moja tu. Nikaweka mikakati niwe nachukua timu mbili tu, bado pia ikawa inachana moja tu kwenye hizo hizo mbili. Juzi Ueropa nikasema nimchukue Napoli tu peke yake, kilichotokea mnakikumbuka.
 
Nimechukua Psg na Buyern pekee, nimestake high...wasipotoa basi wakuu nitakaa Kwanza pembeni Kwa muda. Maana kuna wakati nilikua nachukuaga timu 10 ikawa inachana moja tu. Nikaweka mikakati niwe nachukua timu mbili tu, bado pia ikawa inachana moja tu kwenye hizo hizo mbili. Juzi Ueropa nikasema nimchukue Napoli tu peke yake, kilichotokea mnakikumbuka.


Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
 
Nimechukua Psg na Buyern pekee, nimestake high...wasipotoa basi wakuu nitakaa Kwanza pembeni Kwa muda. Maana kuna wakati nilikua nachukuaga timu 10 ikawa inachana moja tu. Nikaweka mikakati niwe nachukua timu mbili tu, bado pia ikawa inachana moja tu kwenye hizo hizo mbili. Juzi Ueropa nikasema nimchukue Napoli tu peke yake, kilichotokea mnakikumbuka.
Mkuu badili option weka hata GG alafu team moja
 
Screenshot_20211003-113911.png
 
Mkeka wa leo (Chagua kipenda roho)

1) Liverpool wins or draws and U3.5, No BTTS

2) Annecy wins or draws


3) Shakhter Donetsky wins + O1.5

4) Mjondalen wins or draws.

5) Ashdod FC loses or draws

6) Belgrano wins or draws

7) NK Osijek wins or draws + U3.5

8) Randers wins or draws

9) Ionikos wins or draws

10) Crystal Palace wins or draws

11) Tottenham wins or loses, Draw no Bet + U3.5

12) West Ham wins or draws

13) Roma BTTS + O1.5

14) Sampdoria wins or draws

15) Bologna loses or draws

16) Verona BTTS + O1.5

17) Elche loses or draws

18) Arminia Benefield BTTS + O2.5

19) Villareal wins or draws

20) Getafe loses or draws

21) Royal Antwerp loses or draws

22) Ajax wins + BTTS
tusaidie code mkuu?
 
Nimechukua Psg na Buyern pekee, nimestake high...wasipotoa basi wakuu nitakaa Kwanza pembeni Kwa muda. Maana kuna wakati nilikua nachukuaga timu 10 ikawa inachana moja tu. Nikaweka mikakati niwe nachukua timu mbili tu, bado pia ikawa inachana moja tu kwenye hizo hizo mbili. Juzi Ueropa nikasema nimchukue Napoli tu peke yake, kilichotokea mnakikumbuka.
Odds ndogo kuliwa ni ngumu 2 mzee sisi wengine ishu ni stake ndomana tunabet odds nying kwa hel ndogo
 
Wakuu nataka nijitoe muhanga niweke laki moja...Psg win and over 1.5, Buyern win and over 2.5, Buyer Leverkusen 1st half win or Draw na Madrid win. Ushauri wakuu hapo.maana hela ya Kodi hiyo

Km unaham ya kupigwa mpk uchakae hapo kwa leverkusen nitia uone alaf kumbe ni hela ya kodi acha hiyo kitu usije ukaja hapa na masikitiko acha tamaa tafuta odds mbili
 
Back
Top Bottom