Twende mbele turudi nyuma, mahesabu yaliyo nyuma ya beting siyo ya kawaida. Imagine ukiwa na mtaji wa 1000 na ukawa na uhakika wa kupata odds 2 tu kwa siku, ndani ya siku 25, mhindi anafunga biashara.
Ila kuzipata hizo odds 2 kwa siku kubabake, ni kisanga....
Pole kumbe huna taarifa za betpawa kupigwa za usoNimejaribu leo Betpawa mbona zile Bonuses hakuna
Wamefukuza watu sasaPole kumbe huna taarifa za betpawa kupigwa za uso
Ndani ya Siku kumi alipigwa bil53
View attachment 2810623
Haya subiria BADO mapemaTottenham now means business 👊
🤣🤣🤣🤣Twende mbele turudi nyuma, mahesabu yaliyo nyuma ya beting siyo ya kawaida. Imagine ukiwa na mtaji wa 1000 na ukawa na uhakika wa kupata odds 2 tu kwa siku, ndani ya siku 25, mhindi anafunga biashara.
Ila kuzipata hizo odds 2 kwa siku kubabake, ni kisanga....
🙏🙏🙏Nilimpa Win or GG so✅Naona girona karudi
Mkuu ulipotelea wap?chama/inonga tips
maxb
eyupspor win
st gallen ov 2.5
hoffeinhem ov 2.5
csk sophia und 3.5
mxb all niko palee kwa masawee wakala waiting
Tulia leo manure anashinda mkuuWanangu wa Man u kama kawaaa si mna hela za kuchezeaaa