Msiseme sijawaambia....!!
Screenshot_20220110-203948_22Bettz.jpg
 
wazee wa GB
Vodacom

730mins all nets for 12,000/=
2100mins all nets for 16,000/=

One Month Pre-paid

12GB for 15,000/=
25GB for 25,000/=
37GB for 35,000/=

One Month

Vodacom

12GB+730mins All nets 27k
25GB+730mins All nets 37k
37GB+730mins All nets 45k

One Month
Malipo kabla.


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ni kwa voda tu tigo hauna mkuu.?
 
Wapwa kwa kesho egypt atashinda au hatashinda ? Nimeweka mikeka zangu mitatu hapa ili niokoe mtaji .
Mpaka sasa timu mbili zimewin tayari bado moja tu .
Screenshot_2022-01-11-01-12-34-05.jpg
 
AFCON timu za watu weusi zinakamiana so zikikutana zenyewe kwa zenyewe ...cheza under 3.5, Algeria mpk sasa ndio timu ninayoiona ikifunga goli nyingi ...vest option kwake ni over 1.5 au ukirisk kidogo cheza over 2.5 & W.
 
Mkuu nakushauri kuwa kama umefanikiwa kumla kanji kwenye virtual games ...withdraw hiyo pesa na acha mara moja kucheza virtual...hapo unacheza na algorithm...AI, machine huwa zinakuacha unakula kiasi ili ujenge confidence uanze kuweka dau kubwa hapo ndio itakapoanza kumaliza account yako yote...kama utacheza jitahidi sana usiongeze stake..kinyume na hapo utakuja kutoa ushuhuda humu...you will never ever make a profit in a long run
Ni kweli nilipoteza kiasi hapo ndio maana nikashusha stake ili niuelewe mchezo. Na baada ya kuuelewa nilipandisha stake pole pole na nimefikisha 20k kama faida ila kazi ipo. Kufuatilia ligi ambayo game zake ni 5 minutes sio mchezo.
 
Mikeka 10
Won 8
Lost 2

Target mikeka 25 per day
Kwenye betting unaposhinda au kupoteza mfululizo umakini huanza kupotea, hapa mpaka baadae tena. I hope kuna waliojifunza kitu kwenye virtual ya betPawa, option ya over 1.5 kwa mechi za England inatoa na hata ukipoteza bado unabaki na faida. Ciao!
Mzee baba shukran sana kwa hii trick,,Mimi mara nyingi nilikua naicheza single bet ya GG nikiwa nataka kukuza kibubu, sikujua kama Kuna option tamu kama hi. So far nshajikusanyia 30k ina 40 mins. Ubarikiwe
 
Back
Top Bottom