matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,587
- 15,371
Unaweza
1: KUOMBA UMESIMAMA NA KUNYOOSHA MIKONO JUU.
2: Kuomba umelala kitandani kama hujiwezi kama mfalme Hezekia.
3: Kulala chini kifudifudi au kulala kama Yesu gethsemane.
4: Kuomba umeketi kama daudi.
5: Kuomba ukiwa katikati ya watu umesimama kama Nehemia, walio na wewe wasijue kama unaomba.
6: Kuomba umepiga magoti
7: Kuomba umesujudu
8: Kuomba umeinamisha kichwa kimeingia katikati ya magoti ukiwa umesujudu kana nabii Eliya.
Omba ukiwa chooni, Barabarani, unaendesha gari, kitandani, ofisini, jela, safarini,
Kimsingi kila utakapokuwepo panakidhi viwango vya wewe kumuomba Mungu. Hakuna style au mkao wa maombi ambao ni mtakatifu kuliko mwingine. Mungu anaangalia mkao wa moyo wako.
Hata kama utaomba umepiga msamba ikiwa moyo wako ni wa jiwe na tukutu usionyenyekea utakuwa huombi bali unafanya joging.
1: KUOMBA UMESIMAMA NA KUNYOOSHA MIKONO JUU.
2: Kuomba umelala kitandani kama hujiwezi kama mfalme Hezekia.
3: Kulala chini kifudifudi au kulala kama Yesu gethsemane.
4: Kuomba umeketi kama daudi.
5: Kuomba ukiwa katikati ya watu umesimama kama Nehemia, walio na wewe wasijue kama unaomba.
6: Kuomba umepiga magoti
7: Kuomba umesujudu
8: Kuomba umeinamisha kichwa kimeingia katikati ya magoti ukiwa umesujudu kana nabii Eliya.
Omba ukiwa chooni, Barabarani, unaendesha gari, kitandani, ofisini, jela, safarini,
Kimsingi kila utakapokuwepo panakidhi viwango vya wewe kumuomba Mungu. Hakuna style au mkao wa maombi ambao ni mtakatifu kuliko mwingine. Mungu anaangalia mkao wa moyo wako.
Hata kama utaomba umepiga msamba ikiwa moyo wako ni wa jiwe na tukutu usionyenyekea utakuwa huombi bali unafanya joging.