Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
popote ulipo kijana wa dar na vitongoji vyake jaribu kubadilisha matangazo yako kupitia redio nyingine totote na mjihadhari na clouds fm na tbc hawa ni mawakala wa mafisadi hivyo peleka ujumbe huu kwa mwanamageuzi yeyeote ili ikifika 2015 tutawahoji baada ya kuchukua majimbo yote ya dar.mungu walaani clouds kwani wana damu ya magamba.inshalah
dah, niache kumsikiliza DIVA?
nitawasikiliza. lakini hawana ubavu wa kunibadilisha kiitikadi.