BMM
Member
- Jul 20, 2011
- 9
- 3
Nimeona clip ya Lusinde akiporomosha kampeni za mijitusi huko Arumeru kupitia You Tube, lakini pia nilisikiliza nyimbo ya Sugu kupitia You Tube, ki ukweli hawa jamaa waliporomosha Mijitusi lakini wote wakiwa na sababu zao binafsi za kufanya hivyo!!!!
Nikabahatika pia kusikia siku zote mbili Clouds walivyochambua hizo clip na nyimbo;
Kiufupi wailaani sana na kuiponda sana nyimbo ya Sugu (hadi kuhusisha boss wao mkubwa pale kuiongelea na kudiriki kuiplay hiyo nyimbo kidogo),Lakini hii ya Lusinde jamaa kaishia kushangilia tu (japo kwa kejeli fulani) lakini hawakuchambua kama walivofanya kwa Sugu.
Hoja: Binafsi Clouds naipenda na vijana wengi najua huwa tunaisikiliza hasa wakati wa asubuhi tuendapo ktk mihangaiko na jioni tukiwa tunarudi, lakini sijaridhishwa na utendaji kazi wake hasa linapokuja suala la kisiasa, Je wanataka kuniaminisha kuwa Clouds ni mashabiki wa chama fulani?na mm kama kijana nahitaji habari za kisiasa ya kishabiki? au kuchambua ni nani na nani yupo sawa kimalengo na mtizamo?
Ushauri: Usawa na Haki katika Media ni muhimu sana ktk kukuza demokrasia na maendeleo, Clouds pls revisit this angle!
Nikabahatika pia kusikia siku zote mbili Clouds walivyochambua hizo clip na nyimbo;
Kiufupi wailaani sana na kuiponda sana nyimbo ya Sugu (hadi kuhusisha boss wao mkubwa pale kuiongelea na kudiriki kuiplay hiyo nyimbo kidogo),Lakini hii ya Lusinde jamaa kaishia kushangilia tu (japo kwa kejeli fulani) lakini hawakuchambua kama walivofanya kwa Sugu.
Hoja: Binafsi Clouds naipenda na vijana wengi najua huwa tunaisikiliza hasa wakati wa asubuhi tuendapo ktk mihangaiko na jioni tukiwa tunarudi, lakini sijaridhishwa na utendaji kazi wake hasa linapokuja suala la kisiasa, Je wanataka kuniaminisha kuwa Clouds ni mashabiki wa chama fulani?na mm kama kijana nahitaji habari za kisiasa ya kishabiki? au kuchambua ni nani na nani yupo sawa kimalengo na mtizamo?
Ushauri: Usawa na Haki katika Media ni muhimu sana ktk kukuza demokrasia na maendeleo, Clouds pls revisit this angle!