Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 9,508
- 19,320
Laiti kama siku moja tutajilipua, tukajenga miundombinu ya trams, ambayo inaweza kuwa humuhumu kwenye barabara zetu za jini, usafiri utakuwa rahisi zaidi. napendekeza maeneo haya yazingatiwe, hata hiyo pesa ya bilioni 300 anatoa kwa ajili ya darala la jangwani, inaweza kutosha.
1. Dodoma iwepo tram toka chamwino ipite katikati ya mji hadi msalato.
2. DSM iwepo tram toka posta hadi kibaha, posta hadi gongo la mboto, posta hadi karidi na bagamoyo.
3. mwanza, toka airport hadi misungwi
4. arusha miundombinu na milima sio rafiki.
5. iringa, toka nduli hadi mwangata
7. mbeya toka nsalaga hadi sokomatola
8. morogoro ni tambarare, wachague tu popote.
9. Tanga tambarare hadi raha, itafaa sana.
10. kigamboni toka pale ferry hadi anakoishi yeriko nyerere
hizo ni kwa kuanzia tu. tram zinatumia umeme, south africa walishawahi uwa nazo tangu zamani sana sijui kama watakuwa walizibomoa, ila kwa nchi za ulaya, hakuna nchi isiyo na trams, wengine zile za zamani kabisa bado zinatumika. Algeria na Morocco na misri trams wanazo tena kama za ulaya.
1. Dodoma iwepo tram toka chamwino ipite katikati ya mji hadi msalato.
2. DSM iwepo tram toka posta hadi kibaha, posta hadi gongo la mboto, posta hadi karidi na bagamoyo.
3. mwanza, toka airport hadi misungwi
4. arusha miundombinu na milima sio rafiki.
5. iringa, toka nduli hadi mwangata
7. mbeya toka nsalaga hadi sokomatola
8. morogoro ni tambarare, wachague tu popote.
9. Tanga tambarare hadi raha, itafaa sana.
10. kigamboni toka pale ferry hadi anakoishi yeriko nyerere
hizo ni kwa kuanzia tu. tram zinatumia umeme, south africa walishawahi uwa nazo tangu zamani sana sijui kama watakuwa walizibomoa, ila kwa nchi za ulaya, hakuna nchi isiyo na trams, wengine zile za zamani kabisa bado zinatumika. Algeria na Morocco na misri trams wanazo tena kama za ulaya.