Miji kumi hatari Duniani 2013

Miji kumi hatari Duniani 2013

Ni kweli mkuu, maana hawajamaa jinsi walivyo kua hatari ilibidi hata mmarekani kujenga ukuta mpakani mwao kudhibiti illegal movement.

mkuu bado sana
tindikali tu....

Huko mexico watu wanatembea na ak 47 mitaani kumsindikiza drug loads
huko ndiko kuna ma organised crime kama ulishawahi kusikia

mijitu kule inamiliki jeshi la majambazi
polisi wakizingua watu wanawavamia kituo cha polisi

polisi mmoja akileta unoko yeye na familia yake wanachomwa moto

huku majirani wakiona na hawana cha kufanya kwani kunakuwa ni watu kama 30 na wote wana ma ak 47 huu unga wa kina masogange wao ndio wanatengeneza ndio (manyangumi) wenyewe wa drugs wenyewe sio hawa kina iddi azan (sato) na
masogange ndio (dagaa)



nashangaa kwanini fukuoka- japan haimo maana hapo ndio makao makuu ya washenzi moja wanoitwa

yakuza
 
sijaelewa ni hatari kivip, kwani kuna watu kibao tu wanaishi hukoi!
 
Ni kweli mkuu, maana hawajamaa jinsi walivyo kua hatari ilibidi hata mmarekani kujenga ukuta mpakani mwao kudhibiti illegal movement.

Ni kweli kabisa mkuu
 
Back
Top Bottom