Miji kumi hatari Duniani 2013

Miji kumi hatari Duniani 2013

Sijajua hii miji hatari kwa lipi, Kwa machangudoa au kwajambo lipi
 
yani hakuna hata mji mmoja wa Afghanistan na Pakistan? vigezo na masharti ni vipi vilvvyotumika?
 
Dsm ni mji mmoja wa hatari sana,
1. Ni mji unaodhoofisha afya za watu, maana mtu unaamka saa kumi ili uwahi kazini na unarudi usiku sana huku umechoka na hujapumzika vizuri usiku, weekend watu wanatoka kulipiza kisasi cha kukosa muda na bado unacheleweshwa kwa mambo mengi tu
2. Ni mji unaodhoofisha uchumi kwa maana huwezi kufanya mambo mengi kwa siku moja
3. Ni mji ambao umekosa direction kwa maana ya afya watu wanakula vyakula ambavyo si salama
4. Ni mji ambao matapeli yamejaa kila mahali mpaka kwa muuza cd barabarani, ukienda nyumbani ukiangalia unakuta cd inakwaruza.
5. Ni mji ambao unatengeneza stress za kutosha, watu hawana furaha wanajipoza kwa pesa na kutumia kwa sana huku chini "Nyanda za juu kusini"
 
  1. San Pedro Sula - Honduras
  2. Ciudad Huarez - Mexico
  3. Maceio - Brazil
  4. Acapulco - Mexico
  5. Sharm el Sheikh
  6. Kuala lumpur - Malaysia
  7. Johannesburg - South Africa
  8. Caracas - Venezuela
  9. Marrakesh - Morocco
  10. New Orleans - USA

Source: 10 dangerous cities in the world 2013 | Multiversiti
Hii list ni Kama ameichomeka miji ya Afrika tu lakini miji ya hatari kwa usalama wa Raia top 10 Hakuna nchi zingine zaidi ya kutawaliwa na Miji ya America kusini ambapo kuwejaa magenge ya wauza unga
 
Top ten yangu Binafsi ni 1-Goma na kivu 2-mogadishu 3-Baghdad 4-Kabul 5-damascus 6-Cairo 7-dafur 8- south Sudan 9-Hondurs 10-Dsm ujambazi sasa umeshika kasi napo si salam
 
Mkuu Latin America panakua hatari kutona na kuwepo kwa magenge hatari ya wauza madawa ya kulevya.
Kwa Mogadishu pamoja na Bagdad pametulia kidogo na ghasia zao ni za ki vita ukitofautisha na maeneo kama ya Mexico huko ni ujambazi.

Last year, an average of 20 people were murdered every day in Honduras, a country of just 8 million inhabitants, according to the Violence Observatory at the National Autonomous University of Honduras (NAUH). That's a murder rate of 85.5 per 100,000 residents, compared with 56 in Venezuela, 4.78 in the US and 1.2 in the UK.

Inside San Pedro Sula

Ajabu mbona nyingi ni latin America? sijui ni kwa sababu ya unga?
Imagine hata Bagdad na Mogadishu hazipo
Interesting kujua vigezo
 
Back
Top Bottom