soon dar and zanzibar will top up the list
- San Pedro Sula - Honduras
- Ciudad Huarez - Mexico
- Maceio - Brazil
- Acapulco - Mexico
- Sharm el Sheikh
- Kuala lumpur - Malaysia
- Johannesburg - South Africa
- Caracas - Venezuela
- Marrakesh - Morocco
- New Orleans - USA
Source: 10 dangerous cities in the world 2013 | Multiversiti
Huo mwaka 20013 ndio umeniacha hoi mkuu!
- San Pedro Sula - Honduras
- Ciudad Huarez - Mexico
- Maceio - Brazil
- Acapulco - Mexico
- Sharm el Sheikh
- Kuala lumpur - Malaysia
- Johannesburg - South Africa
- Caracas - Venezuela
- Marrakesh - Morocco
- New Orleans - USA
Source: 10 dangerous cities in the world 2013 | Multiversiti
mkuu bado sana
tindikali tu....
Huko mexico watu wanatembea na ak 47 mitaani kumsindikiza drug loads
huko ndiko kuna ma organised crime kama ulishawahi kusikia
mijitu kule inamiliki jeshi la majambazi
polisi wakizingua watu wanawavamia kituo cha polisi
polisi mmoja akileta unoko yeye na familia yake wanachomwa moto
huku majirani wakiona na hawana cha kufanya kwani kunakuwa ni watu kama 30 na wote wana ma ak 47 huu unga wa kina masogange wao ndio wanatengeneza ndio (manyangumi) wenyewe wa drugs wenyewe sio hawa kina iddi azan (sato) na
masogange ndio (dagaa)
nashangaa kwanini fukuoka- japan haimo maana hapo ndio makao makuu ya washenzi moja wanoitwa
yakuza
Ajabu mbona nyingi ni latin America? sijui ni kwa sababu ya unga?
Imagine hata Bagdad na Mogadishu hazipo
Interesting kujua vigezo
mkuu bado sana
tindikali tu....
Huko mexico watu wanatembea na ak 47 mitaani kumsindikiza drug loads
huko ndiko kuna ma organised crime kama ulishawahi kusikia
mijitu kule inamiliki jeshi la majambazi
polisi wakizingua watu wanawavamia kituo cha polisi
polisi mmoja akileta unoko yeye na familia yake wanachomwa moto
huku majirani wakiona na hawana cha kufanya kwani kunakuwa ni watu kama 30 na wote wana ma ak 47 huu unga wa kina masogange wao ndio wanatengeneza ndio (manyangumi) wenyewe wa drugs wenyewe sio hawa kina iddi azan (sato) na
masogange ndio (dagaa)
nashangaa kwanini fukuoka- japan haimo maana hapo ndio makao makuu ya washenzi moja wanoitwa
yakuza